kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,089
Aliyekuwa diwani wa kata ya Kabila wilayani Magu mkoa wa Mwanza, Ndugu Edward James Kihamba amejiuzulu udiwani na nafasi zote ndani ya chama na kujiunga na chama cha mapinduzi ccm.
Taifa ndipo lilipofikia.
Taifa ndipo lilipofikia.