Nimeimisi mwanza sana.jiji la samaki,aka jiji la mawe,mwanza nitarudiView attachment 539866 a special thread for the rocky city.
let us share some photos, underconstruction projects as well as proposed projects in mwanza. NB do not take time to compare the city with other cities from tz. naanza na picha hizi then unaruhisiwa kutupia pia.....View attachment 533939 View attachment 533941 View attachment 534071 View attachment 534075 View attachment 534076 View attachment 534078
Mara ya kwanza kwenda rock nilipafagilia sana nikasema soko limekaa kimamtoni saivijitahidi bana ufike Rockcity japo mara moja katika maisha yako..
Huo mti inasemekana wakoroni walikua wananyongea watu hapo sasa sijui wameukatakata na kuupaka hayo marangi ya nini.Mkuu hiyo ni nini?
Kulikuwa na mti hapo uliokuwa ukitumiwa na wakoloni kunyongea watu, sasa wakati wanajenga barabara enzi za mkapa walikata mizizi hivyo ukakauka, ulipokauka wakaukata matawi ukabakia kipisi ambacho kiligongwa na dereva mmoja kikatoka kabisa sasa jiji wameamua kuweka mti artificial mfano wa kipisi cha mwanzo.Mkuu hiyo ni nini?
Mkuu huo gari gani lingeweza kuugonga na kuuthuru ule mti?Kulikuwa na mti hapo uliokuwa ukitumiwa na wakoloni kunyongea watu, sasa wakati wanajenga barabara enzi za mkapa walikata mizizi hivyo ukakauka, ulipokauka wakaukata matawi ukabakia kipisi ambacho kiligongwa na dereva mmoja kikatoka kabisa sasa jiji wameamua kuweka mti artificial mfano wa kipisi cha mwanzo.