Mwanza City: The Photo Gallery

Nimeimisi mwanza sana.jiji la samaki,aka jiji la mawe,mwanza nitarudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jitahidi bana ufike Rockcity japo mara moja katika maisha yako..
Mara ya kwanza kwenda rock nilipafagilia sana nikasema soko limekaa kimamtoni saivi

Nlivyofika mambele kumbe mwanza rock city mall hata robo hatujafika na bado tuna safari ndefu
Aise nilijiona mshamba kwa mawazo yangu ya kulinganisha rock city mall na mashop ya mamtoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huo gari gani lingeweza kuugonga na kuuthuru ule mti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…