Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,347
Na pasiasi au sabasaba
Wale wagen mnakarbishwa mie naishi hapo mbele ya hizo taa panaitwa ghana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wagen mnakarbishwa mie naishi hapo mbele ya hizo taa panaitwa ghana
Ko unamanisha kuwa mji unapewa promo tofauti na uhalisia... ngoja wenyewe waje sijui utachomokea wap....mbona mji wa kawaida sana
Kwa walioko mwanza wanielekeze sehemu ambapo naweza patackazi yoyote ile isiyozingatia elimu
liberty iko sehemu gani mwanza maana sipa fahamu na wanapakua mizigo gani asante xanaNenda mitaa ya liberty street kajichanganye na vijana upige kazi za kupakua mizigo trust me usipo endekeza wanawake na pombe utapata adi mtaji wa biashara
mbona mji wa kawaida sana
liberty iko sehemu gani mwanza maana sipa fahamu na wanapakua mizigo gani asante xana
wanalipwa kama shi ngapi kwa siku kama unafahamu tafadhali ni julisheLiberty iko mwanza mjini ..we ulizia utaelekezwa ilipo ,mizigo mbali mbali from maduka ya kila bidhaaa
wanalipwa kama shi ngapi kwa siku kama unafahamu tafadhali ni julishe
Nimegundua hzi kazi zinazodharaulika zinalipa sana ukiwa na malengo japo hazipo stable in the long run....!! nilioomaliza chuo nilikosa kazi, nikayumba sana....badae nikaanza kuuza vitabu mtaani nikitembeza..kazi ambayo ilinipatia more than 2mil with in 3months..na hapo nikapata mtaji wa harakati zingine..sa hv npo namalizia proposal ya multimillion project....nawashaur vijana hasa wasomi ambao wapo tu kitaa wafanye hzi kazi ili kufikia malengo yao...kwa kutafutia mtaji hzi kazi znatoa sana, hata ukonda tuu kama una malengo unatoka..tatizo hzi kazi wanafanya watu ambao hawna elimu, kuna jamaa alikuwa nafanya kazi ya kuchinja wanyama machinjion kwa siku anaingiza more than 100000...jamaa hata la saba hajapita ...ila hakujua namna ya kuwkeza mwisho wa siku yupo palepale ...angekuwa na elimu angefika mbali sana...anyway kikubwa ni malengo mana unaweza kuwa na elimu lakn ukawa boya pia
Hapo ni wapi mkuu?