Mwanza City: The Photo Gallery

Screenshot_20181121-091428.png
Screenshot_20181121-091428.png
 
wanalipwa kama shi ngapi kwa siku kama unafahamu tafadhali ni julishe

Itafatana na kazi utakayo fanya mfano wa vibarua vya kushusha mara nyingi wale watu hawakosi chini ya 10000 kwa siku ..kuna watu wanalaza hadi 50000 kikubwa ni bidii ya kazi na kujichanganya na watu wenye channel ..malipo yanalingana na makubaliano yenu
 
Nimegundua hzi kazi zinazodharaulika zinalipa sana ukiwa na malengo japo hazipo stable in the long run....!! nilioomaliza chuo nilikosa kazi, nikayumba sana....badae nikaanza kuuza vitabu mtaani nikitembeza..kazi ambayo ilinipatia more than 2mil with in 3months..na hapo nikapata mtaji wa harakati zingine..sa hv npo namalizia proposal ya multimillion project....nawashaur vijana hasa wasomi ambao wapo tu kitaa wafanye hzi kazi ili kufikia malengo yao...kwa kutafutia mtaji hzi kazi znatoa sana, hata ukonda tuu kama una malengo unatoka..tatizo hzi kazi wanafanya watu ambao hawna elimu, kuna jamaa alikuwa nafanya kazi ya kuchinja wanyama machinjion kwa siku anaingiza more than 100000...jamaa hata la saba hajapita ...ila hakujua namna ya kuwkeza mwisho wa siku yupo palepale ...angekuwa na elimu angefika mbali sana...anyway kikubwa ni malengo mana unaweza kuwa na elimu lakn ukawa boya pia

Inachokisema kina ukweli wa asilimia nyingi wengi wanafanya izo kazi wakiwa na uelewa mdogo ,mimi kuna watu na mifano wamefanya kazi za kupakua mizigo na katika maduka na gari magari mbalimbali mwisho wasiku wamejenga na wanaishi na familia

Huwa nikipata bahati ya kwenda mwanza huwa napenda kufika mitaa iyo maana kuna friends wana biashara zao pale unakuta kijana kashinda usiku mzima anapata hadi 60000 ila pombe sasa ndio zinawamaliza na wanaibiana wao kwa wao ukilewa
 

Similar Discussions

59 Reactions
Reply
Back
Top Bottom