Tanzania ni Moja ya nchi ambazo ni majiji ya hovyo sana Duniani ...
kwenye nchi ambazo ziko focused huwezi Kuta jiji la watu zaidi ya laki 5 liko shabby kama mwanza ...yaani mwanza tunabebwa na uzuri wa ziwa na ukubwa wa miji.ila kwenye miundombinu tuko nyuma vibaya hata google wanalijua Hilo .....
Moja kati ya miji ambayo ilitakiwa kuwa sura ya nchi Kwa sababu ya muingiliano mkubwa wa watu wa AFRICA mashariki ni Mwanza......Kila siku nawaambia wenzangu humu mwanza sio hadhi ya kuomba barabara mbili mbili kama sumbawanga,...ebu nenda kisumu ,ambayo ni mji wa tatu Kwa ukubwa Kenya na mdogo kuliko Mwanza ulivyo
Sent from my TECNO KG5j using
JamiiForums mobile app