Haya mwanza kunaendelea hafi raha...
Bukoba manispaa stendi kuu bado inajengwa toka 2020...
Soko liko vile vile....
Barabara Taa haziwaki, kwingine hakuna kabisa...
Barabara ni finyu na chafu..
Yaan nikija mwanza naonaga wivu...sijui bukoba kuna shida gani...mbona miradu haiishi na haitekelezwi??