Mwanza City: The Photo Gallery

Haya mwanza kunaendelea hafi raha...

Bukoba manispaa stendi kuu bado inajengwa toka 2020...

Soko liko vile vile....

Barabara Taa haziwaki, kwingine hakuna kabisa...

Barabara ni finyu na chafu..


Yaan nikija mwanza naonaga wivu...sijui bukoba kuna shida gani...mbona miradu haiishi na haitekelezwi??
 
Mkurugenzi changamoto
 
Miradi mingine inategemea mapato ya ndani ya halmashauri ko kana mapato hayatoshi inabidiri ruzuku toka serikalini ....

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ