Mwanza City on a major Shopping project

Kumbuka mlimani city slop rocky city gorofa

Naamini hata kama ni ghorofa, kwa prototype hiyo, haiwez kuifikia Mlimani City, mark my words! Hata parking bado haiwez kuwa sawa na pale Mlimani City. Hiyo ya Mwanza inakisiwa kuchukua magari 7000 kwa siku, wkat Mliman City ni magari 3000 kwa wakati mmoja! Hata hivyo hongera jiji la Mwanza kwa Mall ya kisasa

Kuhusu umiliki wa Serikali au Umma kwa ujumla pale Mlimani City, kwa kuwa nilikuwa tu upande wa ujenzi, tuliambiwa kuwa mradi ni wa miaka50 chini ya Mwarab wa Botswana, mwenye Malls nyingi kule SAfrika. Katika kipindi hicho, Mwarab atalipa kodi za serikali, atawapa mgawo kidogo UDSM, baada ya hapo ataipa serikali na kwa hapa ni UDSM. Mfumo huo unaitwa ni BOOT- Build, Own, Operate and Transfer! Huu ni tofauti na BOT au PPP, japo una mambo ambayo yanafanana!
 
sion haja ya kupga kelele kwan mnabishana nini
me ni fund mpaka dk hii nayoongea nipo hum ndan na mliman city naijua vizur
hii ktu ya mwanza ni habar nyingne kabisa cyo ya kufananishwa na m. city wala quality center
mnyamaze tusubir ufunguz

Naamini KAMWE haiwez kuifikia Mlimani City ile iliyotumia Technolojia kali kabisa, wakandarasi wanne: Noremco- Civil Works, CSI Engineering-Structural Steel Works,Kampuni ya Roof ilitoka South Africa( jina limenitoka. Moja ya jambo ambalo tuliambiwa ni kuwa bati zitapigwa bila kutoboa bati kwa misumari, na ilikuwa hivyo, jamaa ni specialist kwa roofing works tu. Walikuja na mtambo wao ambao kwa kweli niliwakubali.

Mfumo wa AC ule ni Air Duct wataalam walitoka South Afrika. Zege ile ya floor ya jengo zima iliwekwa na Paver kama ile ya kuweka lami( asphalt concrere) na mtambo huu uitwao BidWell waliuleta NOREMCO, hata wale Makaburu waliofanya roofing walipiga picha na walikiri kuwa ni Technology ya kisasa kabisa. Nakumbuka hata zege tuliweka materials ziitwazo Rio Fibre na Rio Build. Naamini hao wajenzi wa huo mradi wa Mwanza wanaweza wakawa Wachina ambao ni wachakachuzi wa Ujenzi ila ni wazee wa fix au changa la macho kwenye finishing.

NOREMCO waliondoka nchini kwa kuwa ni sera ya NORWAY kutopendelea rushwa. Sasa trend ya kupata miradi Tanzania ilivyoingia muundo wa kirushwa rushwa wakaamua kuondoka nchini Tanzania. Mradi wao wa mwisho ulikuwa ni TBL pale Mbeya na Mlimani City Conference Centre. PPF Tower enzi hizo ni kazi ya NOREMCO, jengo zuri na refu la mwanzo nchini Tanzania, bila kusahau pale Akiba!
 
Naamini KAMWE haiwez kuifikia Mlimani City ile iliyotumia Technolojia kali kabisa, wakandarasi wanne: Noremco- Civil Works, CSI Engineering-Structural Steel Works,Kampuni ya Roof ilitoka South Africa( jina limenitoka. Moja ya jambo ambalo tuliambiwa ni kuwa bati zitapigwa bila kutoboa bati kwa misumari, na ilikuwa hivyo, jamaa ni specialist kwa roofing works tu. Walikuja na mtambo wao ambao kwa kweli niliwakubali.

Mfumo wa AC ule ni Air Duct wataalam walitoka South Afrika. Zege ile ya floor ya jengo zima iliwekwa na Paver kama ile ya kuweka lami( asphalt concrere) na mtambo huu uitwao BidWell waliuleta NOREMCO, hata wale Makaburu waliofanya roofing walipiga picha na walikiri kuwa ni Technology ya kisasa kabisa. Nakumbuka hata zege tuliweka materials ziitwazo Rio Fibre na Rio Build. Naamini hao wajenzi wa huo mradi wa Mwanza wanaweza wakawa Wachina ambao ni wachakachuzi wa Ujenzi ila ni wazee wa fix au changa la macho kwenye finishing.

NOREMCO waliondoka nchini kwa kuwa ni sera ya NORWAY kutopendelea rushwa. Sasa trend ya kupata miradi Tanzania ilivyoingia muundo wa kirushwa rushwa wakaamua kuondoka nchini Tanzania. Mradi wao wa mwisho ulikuwa ni TBL pale Mbeya na Mlimani City Conference Centre. PPF Tower enzi hizo ni kazi ya NOREMCO, jengo zuri na refu la mwanzo nchini Tanzania, bila kusahau pale Akiba!

duuuh umeongea mengi hila tecnology ya mwaka 2006 siyo inayotumika hapa leo 2014
amin nakwambia mliman city naijua vizur na hapa ndan napafaham vizur
naona unaongeeeeaaa lakin ujajua unazungumza nini
 
Tanzani hatuna Malls, Nenda hapo Kwa Uhuru Jamaa wako mbali sana kwa haya mavitu,na Malls zao ni kubwa mno Ukienda tu mji kama Kisumu utakutana na malls za kutisha.
Sema kwa sababu ndo tunaanza si mbaya
 
By the way ,ukiuangalia huu muonekano wa wa hii Mall kwa nyuma yaani ule upande ambao sio wa barabarabarabara ya kwenda eapoti,ukiangalia utaona kama kuna ziwa hivi ....

Hiyo inawezekanaje wakati mall iko mbali na ziwa?

Au nina mawenge?

Hapana mkuu, nahisi ni picha tu. Lakini haimaanishi kuna ziwa. Au ulitaka wachore na nyumba zilizoko jirani hapo?
 
Tanzani hatuna Malls, Nenda hapo Kwa Uhuru Jamaa wako mbali sana kwa haya mavitu,na Malls zao ni kubwa mno Ukienda tu mji kama Kisumu utakutana na malls za kutisha.
Sema kwa sababu ndo tunaanza si mbaya

mkuu labda hutaki kukubali vya nyumbani lakini kwa Nairobi nayoijua mimi hii Mlimani City yetu ni balaa nakwambia ni east Africa hasa kwa kuzingatia design na mandhari
 
mkuu labda hutaki kukubali vya nyumbani lakini kwa Nairobi nayoijua mimi hii Mlimani City yetu ni balaa nakwambia ni east Africa hasa kwa kuzingatia design na mandhari

Kweli wewe mwana mzalendo usijidharau et kwakua kwa fulani ana vizur zaid yako komaa na jisifu na hakohako ulikonako
 
IMG_19881_zpsfd4a3a8c.jpg IMG_19871_zpsc77da5f7.jpg IMG_19811_zps1af268b1.jpg
 
Back
Top Bottom