Mwanza City on a major Shopping project

Hebu fanya hiyo makitu kisha utuletee mlishonyuma bada!

Mkuu Eiyer, nilizungumza ba Afisa mmoja wa Sumatra akasema kwamba tayari vibali vya kutumia Route ya Ilemela - Nyasaka - Igoma Ilishatolewa ila ni nani wa kupeleka gari lake huko!?? Maana walishazoea barabara zilizo sawia kwani haziumizi gari na kutumia mafuta kwa wingi.

Ukiangalia Barabara ya Nyasaka - Igoma utaona mabonde na miinoku ya kutosha. Je nani yuko tayari kupeleka gari lake huko??

Ila ngoja shopping mall ikamilike ndiposa wataona umuhimu wa kupita hiyo route, maana watatumia zaidi ya masaa mawili kusubiri foleni...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Eiyer, nilizungumza ba Afisa mmoja wa Sumatra akasema kwamba tayari vibali vya kutumia Route ya Ilemela - Nyasaka - Igoma Ilishatolewa ila ni nani wa kupeleka gari lake huko!?? Maana walishazoea barabara zilizo sawia kwani haziumizi gari na kutumia mafuta kwa wingi.

Ukiangalia Barabara ya Nyasaka - Igoma utaona mabonde na miinoku ya kutosha. Je nani yuko tayari kupeleka gari lake huko??

Ila ngoja shopping mall ikamilike ndiposa wataona umuhimu wa kupita hiyo route, maana watatumia zaidi ya masaa mawili kusubiri foleni...

Good Job CL. Ubarikiwe
 
Last edited by a moderator:
Jamani ikumbukeni basi na barabara ya Igogo ile inayotoka pepsi mpaka Igogo secondary nakule binadamu wanaishi waheshimiwa
 
Ndo mall kubwa na ya kisasa zaidi afrika mashariki na kati
 
Good my home city.
Kwa Tanzania kwenye miradi kama hii wanamji asilia huwa hawana cha kujivunia.

Sana sana mtahamishwa kwenye maeneo yenu na "kutupwa" nje ya mji kwenye makazi mapya.

Inasikitisha kwa sababu kwenye miradi kama hii wanamji ndio ambao walitakiwa wapewe kipaumbele lakini si Tanzania.

pole.
 
Hiyo mall ipo fresh ikikamilika. Je,haitaweza kuleta trafic jam maana barabara ipitayo hapo ni single lane.
 
mim. ni
mmoja wa
mafund tunaofanya kaz za kubandika peving stone na tiles
0756181677
 

Attachments

  • 1415511232566.jpg
    1415511232566.jpg
    108 KB · Views: 439
  • 1415511285974.jpg
    1415511285974.jpg
    70 KB · Views: 418
  • 1415511315631.jpg
    1415511315631.jpg
    85 KB · Views: 402
  • 1415511350340.jpg
    1415511350340.jpg
    56.8 KB · Views: 410
Ni muda mrefu sana tangu niondoke MWANZA, nimeskia kuna miradi mikubwa sana ya kibiashara inayoendelea kujengwa hapo mjini, ikiwa ni pamoja na MWANZA CITY COMPLEX, Kituo cha kibiashara cha B.O.T pale ilipokuwa CLINIC ya zamani, pamoja na uwanja wa ndege wa kimataifa wa MWANZA.

Nimekuwa na wasiwasi sana kuhusu barabara kuu itokayo city centre kuelekea AIRPORT kama itaweza ku accomodate magari yatakayokuwa yanatumia barabara iyo. Nahisi taabu kubwa waliyo nayo wakaazi wa DAR es SALAAM, sasa itakuwa MWANZA kwani sidhani kama CITY COUNCIL wamejipanga kikamilifu kuhusu ilo.

Mimi naona ni vyema barabara hiyo sasa ikapanuliwa kuwa njia nne, na si kusubiri mpaka ifikie hali kama ile ya DAR es SALAAM.

ACHA MAONI PLEASE !!!!!!!!!!!!!

Uko sawa ndugu
 

Trade |
Published On: Fri, Dec 30th, 2011


Mwanza-City.jpg


Mwanza City


The Mwanza City Council from March next year is expected to implement a giant multi-billion commercial complex project aimed at stimulating businesses and attracting more investors in the region.


Mwanza city Assistant Economist and Planning Officer, Joseph Kashushula told the ‘Daily News’ on Friday that all the necessary preparations have been completed and that the commercial complex would be located at Ghana Area in Ilemela District.

He said the project is expected to stimulate businesses across the Lake Zone and the East African Community at large, “The project is expected to take three years and it is a joint venture between the Mwanza City authority and Local Authority pension Fund (LAPF),” said Kashushula.


Mwanza City Council project Manager, Eng Fuko Koyoye said the project upon its completion is unprecedented one, “It will include playing centres for children, a big parking space for 4,000 to 5,000 cars.


Other features include a special garbage collection facility, giraffe columns and space for financial institutions, just to mention a few,” says the project manager.


Meanwhile, Mr Kashushula says implementation of the road project which will cost about 8bn/-, has already started and it is expected to increase the number of kilometres of tarmac road across the Mwanza city from the current 27.1 kms to at least 45.4 kms.


The project is being implemented under the Tanzania Strategic Cities Projects (TSCP) through the support of the World Bank and Royal Danish Embassy (DANIDA). He said the implementation will be in two phases.


The roads to be rehabilitated under phase one are, the Pasiansi to Buzuruga Road (7.4 Kms), Sanga to Kiloleli Road (2 kms), Karuta Road (0.5Km) and Libert Street Road (0.3Km).


Under phase two, the roads include:Mkuyuni to Butimba Road (2.5km), PepsiRoad (1.1Km) and Tunza- Airport- Road (4.5 km).


Experts say Mwanza City is a fast growing city in East Africa. Currently, it is estimated to have a a population of over one million people and its growth rate stands at 3.2 per cent per annum.


By MOSES MATTHEW, Tanzania Daily News



Hongera Mwanza. I love you Mwanza Home Sweet Home
 
Ni muda mrefu sana tangu niondoke MWANZA, nimeskia kuna miradi mikubwa sana ya kibiashara inayoendelea kujengwa hapo mjini, ikiwa ni pamoja na MWANZA CITY COMPLEX, Kituo cha kibiashara cha B.O.T pale ilipokuwa CLINIC ya zamani, pamoja na uwanja wa ndege wa kimataifa wa MWANZA.

Nimekuwa na wasiwasi sana kuhusu barabara kuu itokayo city centre kuelekea AIRPORT kama itaweza ku accomodate magari yatakayokuwa yanatumia barabara iyo. Nahisi taabu kubwa waliyo nayo wakaazi wa DAR es SALAAM, sasa itakuwa MWANZA kwani sidhani kama CITY COUNCIL wamejipanga kikamilifu kuhusu ilo.

Mimi naona ni vyema barabara hiyo sasa ikapanuliwa kuwa njia nne, na si kusubiri mpaka ifikie hali kama ile ya DAR es SALAAM.

ACHA MAONI PLEASE !!!!!!!!!!!!!

Uko Sawa Ndugu
 
Back
Top Bottom