Mwanza City on a major Shopping project

hyo kitu ni kama mliman city
mpaka dk hii naongea hakuna nafasi
pamejaa vigogo hapo

dah..,!
kwa hiyo siwezi kupata nafasi sasa hivi sababu ninampango wa kuweka biashara yangu humo cremoo
 
Last edited by a moderator:
sizan ndugu yang
chek out ma no.
ntakuunganisha na msemaji mkuu wa jengo hilo manake me ni fundi tu
 
unaweza ntafuta pia kwa mambo ya gardening na sanamu mbalimbalo
 

Attachments

  • 1415721132523.jpg
    62.4 KB · Views: 408
  • 1415721159860.jpg
    45.7 KB · Views: 382
  • 1415721261581.jpg
    103.1 KB · Views: 386

Mpango wa upanuzi wa barabara ulikuwepo kitambo. Kikwazo ni jengo la CCM mkoa ambalo itabidi livunjwe kuutekeleza.
 
Mpango wa upanuzi wa barabara ulikuwepo kitambo. Kikwazo ni jengo la CCM mkoa ambalo itabidi livunjwe kuutekeleza.

imagination niliyonayo mwanza ya 2018
barabara zitakuwa tabu sana ukizingatia mji wetu ni miamba kila kona
ni tabu sana badae
 

Mrejesho tafadhari. Naona uzi wa kitambo huu.
 
No level za east Africa bado itasubiri sana, hata mlimani city ni kubwa kuliko hii, bado kuna Westgate Nairobi

Acha uongo wewe, mlimani city ni ndogo na local kwa hii, kuanzia majengo, ukubwa, designing na muonekano. Rocky city mall ina car parking 660, pikipiki zaidi ya 300 na baiskeli zaidi ya 100
Angalia muonekano
 
Acha uongo wewe, mlimani city ni ndogo na local kwa hii, kuanzia majengo, ukubwa, designing na muonekano. Rocky city mall ina car parking 660, pikipiki zaidi ya 300 na baiskeli zaidi ya 100View attachment 203139
Angalia muonekano

Mlimani City nilishiriki kuijenga mwaka 2005/2006 nilikuwa pale na Noremco. Jengo lina upana wa mita 72 na urefu wa mita kama 129 hivi. Car Parking ile nilishiriki kuijenga imesanifiwa na kwa sasa ndiyo uwezo wake ni wa kuchukua magari 3000. Kadri nianavyo hiyo prototype( au 3D) ya mdau, bado hiyo Mall ya Mwanza ni ndogo kuliko Mlimani City. Uwezo wa Car parking ya Quality Centre ni magari 800 tu, hayazidi 1000. Hivyo kwa haraka Mlimani City ni kubwa kwa sasa labda Westgate ndo inamzidi.!
 
Sexer ni mtoto mdogo tu huyo hajui kitu. quality centre yenyewe walipiga kelele, 'oh! kubwa kuliko'. wapi? ukienda pale ni kama umeenda posta, parking hazitoshi. mlimani city ndo mambo yote, the busiest single place in tanzania. pale kuna shopping mall, ambayo hata hiyo mall ya mwanza haifikii, then kuna executive park ambayo ni kubwa tena kwa eneo lote la hiyo ya mwanza. hapo utakuta corporate offices za voda, tib, na wengine, na conference centre.
 

nasikia eti baada ya miaka 100 mlimani city itakuwa mali ya UDSM
 
Hivi umeshatembelea maeneo yote mawili au unaongea tu basi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…