Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
- Thread starter
- #21
Kuna mtu alikuwa ananambia siku hizi IGP ni kama cheo cha kisiasa kwakuwa ni waongeaji sana na utendaji mdogo!Nilivyomsikiliza inaonekana ana point fulani (kama si politics). nampa benefit of doubt kwanza kabla sijamhukumu
BTW: Mi nilimsikiliza kwa umakini nikaona NI HERI ya yeye IGP kuliko AG ambaye kusema kweli naona hana jipya! Muhimu ni kushikilia hivi hivi mpaka kieleweke.