Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,608
Umekuwa member mshenzi sana,unamtukana mzee kwa kutoa maoni yake?
Catch me outside....
Umekuwa member mshenzi sana,unamtukana mzee kwa kutoa maoni yake?
Acha fitina wewe mtu mzima ujue.Mwandosya ni kanisa la Moravian ambalo askofu wake alikataa kata kata kuwa Moravian haina tabia ya kutoa nyaraka .mambo ya KKKT na katoliki yanamhusu nini wa maaskofu wake? anapingana Na msimamo wa kanisa usiotaka nyaraka?
Msogezee mamaako amkune.Naona anatafuta mkunanji huyo....
safi sana kiongozi na huo ndio ukweli mtupu, na makamu nae kakazia
Ukiwa nje ya mchezo ni rahisi kuwa na mawazo ya busara. Unaadhani angekua rais an waziri angesema hivyo?Hongera zake kwa kusema na kusimamia ukweli.
CCM ili itoke hapo ilipo, inahitaji wana-CCM kama kina Mwandosya katika safu yake ya uongozi.
Anyway, wacha ijifie tu maana inastahili.
Yaani ww jamaa ni jasiri sana,kwa kifupi ww si binadamu wa kawaida.Mwandosya ni kanisa la Moravian ambalo askofu wake alikataa kata kata kuwa Moravian haina tabia ya kutoa nyaraka .mambo ya KKKT na katoliki yanamhusu nini wa maaskofu wake? anapingana Na msimamo wa kanisa usiotaka nyaraka?
Tatizo hawa wanasiasa wanajua kuna watu huko nje wanaoamini kila wanachosema. Angekua rais au waziri angesema hivyo? Akili zinazokuja nje ya uwanja ni hatari kuliko zilizomchezoni
Hiyo itakuwa ni picha tu ambayo kaitumia kusindikiza ujumbe wake maana hata hiyo forum asingeweza kuitumia kuongea mambo ya dini hivyo kaamua tu kutumia hiyo picha ya mwaka 2015 kusindikiza ujumbe wake wa mwaka 2018.Mkuu mbona inaonekana alizungumza 2015 hayo maneno? Je anaweza kuzungumza hayo sasa?
Anawashwa kama ngosha mwenzako wa Kinywaruanda anayependa kuombewa.Huyu naye huwa anawashwa washwa sana....
Unataka kukunwa?Ungekaa kimya mwenyewe! Nini kimekuwasha hadi umenikwoti?
Nyani siku hizi kawa kiumbe ya ajabu ajabu sana, cjui alipatwa na nn tu!Anawashwa kama ngosha mwenzako wa Kinywaruanda anayependa kuombewa.
Unataka kukunwa?
Nyani siku hizi kawa kiumbe ya ajabu ajabu sana, cjui alipatwa na nn tu!
Sawa shangazi nimekuelewaWe umejiunga juzi tu na unanijua hivyo? ID yako ya zamani nani? Shenziii wewe
anaumwa ugonjwa wa kukosa urais, enzi za jk, mkapa na magu
Maaskofu wake Mwandosya wa Moravian sio CCM au chadema au chama chochote cha Siasa ni waumini wa kanisa la Moravian tofautisha na askofu shoo muumini wa chadema mwenye joho ,kofia Na fimbo ya kiaskofu ya KKKTMwongo mkubwa, tangu lini Mwandosya amekuwa mwumini wa Moravian...yan majitu ya CCM sijui nani kawaloga, hamna ufahamu na jambo lolote pumbavu!
Acha uch*k*Huyu naye huwa anawashwa washwa sana....