OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,189
- 103,708
Hii habari ameikanusha. Soma=>Mark Mwandosya akanusha uvumi kuhusu kutoa tamko kwa waraka wa maaskofu KKKT
wakolomije utawajua tu!Huyu naye huwa anawashwa washwa sana....
Umeona ehhHuyu naye huwa anawashwa washwa sana....
Umeona ehh
Stupid punga, wewe usiyewashwa si ungekaa kimya?Huyu naye huwa anawashwa washwa sana....
Stupid punga, wewe usiyewashwa si ungekaa kimya?
Mwongo mkubwa, tangu lini Mwandosya amekuwa mwumini wa Moravian...yan majitu ya CCM sijui nani kawaloga, hamna ufahamu na jambo lolote pumbavu!Mwandosya ni kanisa la Moravian ambalo askofu wake alikataa kata kata kuwa Moravian haina tabia ya kutoa nyaraka .mambo ya KKKT na katoliki yanamhusu nini wa maaskofu wake? anapingana Na msimamo wa kanisa usiotaka nyaraka?
Kosa lake nini hata umshambulie? Kwani amekukosoa wewe? Yeye katoa maoni yake kama Mtanzania kuhusu changamoto iliyopo mbele yetu kama Taifa. Wewe lengo lako ni nini? Hutaki Watanzania wakemee maovu na kutoa maoni yao?Mwandosya ni kanisa la Moravian ambalo askofu wake alikataa kata kata kuwa Moravian haina tabia ya kutoa nyaraka .mambo ya KKKT na katoliki yanamhusu nini wa maaskofu wake? anapingana Na msimamo wa kanisa usiotaka nyaraka?
Umekuwa member mshenzi sana,unamtukana mzee kwa kutoa maoni yake?Huyu naye huwa anawashwa washwa sana....