Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
<br />Kabla hajaondoka tunaomba atupe maelezo kuhusu bwawa lilojengwa kule musoma chini ya kiwango likabomoka.
<br />Sumari hata kampeni hakufanya...mwanaye ndie alikuwa akizunguka kwa niaba yake .....anaumwa sawa na Mwandosya.
Na tumemenza uchunguzi wa kiina, ndani ya system, tungaalia kama ugonjwa huu kama ni wa mungu sawa, lakini kama ni mkono wa mtu, katika kufifisha nguvu za huyu rais wa Mbeya, basi aliyechezesha hujuma hii ya kimaafia hata kaa ishi haishi kamwe. Majibu yote tutayaweka wazi hapa JF. Kama tanzania hatujawi ota kuwa na vita kama ya biafra basi Mbeya itakuwa ya kwanza.Gibbons Mwaikambo aliondoka kiutata tulikaa kimya,aliondoka Stiven Kibona aliondoka hatukufanya uchunguzi. Sasa hiki ni kizazi kingine,stay tuned!!!!!!
Na tumemenza uchunguzi wa kiina, ndani ya system, tungaalia kama ugonjwa huu kama ni wa mungu sawa, lakini kama ni mkono wa mtu, katika kufifisha nguvu za huyu rais wa Mbeya, basi aliyechezesha hujuma hii ya kimaafia hata kaa ishi haishi kamwe. Majibu yote tutayaweka wazi hapa JF. Kama tanzania hatujawi ota kuwa na vita kama ya biafra basi Mbeya itakuwa ya kwanza.Gibbons Mwaikambo aliondoka kiutata tulikaa kimya,aliondoka Stiven Kibona aliondoka hatukufanya uchunguzi. Sasa hiki ni kizazi kingine,stay tuned!!!!!!
im pure CDM, but kati wa viongozi niliokuwa nawakubali Mc. ni mmojawapo together wth hon. Magufuli, hata kama wanamapungufu, lakini kila wanapopewa kazi huwa wanajitahidi kuzifanya. tunaweza tukasema mengi kuhusu prof Mc. but on my side give hm spect for the decisi n, and praying for hm, that he may recover soon, and cm back to our hm land and utilise his time on his knowledge, w rill nid hm for the growth of science, an the guy did nt explore that much what he have!
Vipi TTCL nasikia walimdhamini mtoto wake SA
<br />Yule aliyekuwa anafanya PhD? he kale kasichana nako kamezidi na kusoma bwana! roho inauma kweli aisee! kumbe ndiyo aliua Ttcl mpaka sasa inazidi kufa? ni yeye dah! kazi kwelikweli.alipindisha maamuzi baraza la mawaziri la kutokuuza ttcl? inamaana alipo wahi kuliambia bunge kwamba wale ni wababaishaji,halafu tena akabadilika ghafla kumbe ilikuwa hongo ya mwanae du!na baraza la mawaziri chini ya makapa nao wakamsikiliza ili mwanae apelekwe south Africa? Sasa kwanini tena alitaka kujiuzulu sababu ya kashfa ya Ttcl halafu akaambiwa akifanya hivyo baraza lote la Mkapa inabidi lijiuzulu??????? au labda tatizo ni CCM???? kwahiyo Ttcl imekufa sababu ya mtoto wake kupelekwa south africa??? kama ndivyo hivyo basi hata ndege ya rais ni yeye, rada ni yeye pia hata kama swala la ndege alipewa nakala ya barua ya waziri mramba huku yeye akiwa ni waziri mwenye dhamana hiyo kwa mujibu wa gazeti la Rai enzi hizo nayo tutasemaje? na maokola majogo waziri wa nishati na madini aliye sema swala la Tanesco maamuzi ya kuleta management ya matapeli wa South africa haikuwa maamuzi yake bali ni ya baraza la mawaziri, akatolewa wizara hiyo baada ya kusema hivyo akapewak Daniel yona Mnunuzi wa kiwira coal mine kwa bei ya kitapeli nalo unasemaje????? <br />
<br />
Tatizo ni CCM,IMEOZA KABISA,KUNA VIONGOZI WACHACHE SANA AMBAO WAO WAKIAMUA BASI,HALAFU KUNA MWINGINE HUYO DU YEYE NDIYO HAGUSWI MAANA YUPO JUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU! anaweza hata kukusamehe kama umehujumu nchi,atakuambia rudisha na hakuna wakukuliza wala kusema!<br />
<br />
TANZANIA BILA UMEME INAWEZEKANA!
jamani nilipa nyembamba kwamba mkwele anataka kuwamwaga wote wenye ndoto za uraisi sasa mnyachusa ame pre empty hiyo ni nzuri vilivile kwani ametunza cv.dira ya mtanzania= clouds fm = entertainment media= not reliable source
Yaani yuko nje ya kazi zaidi ya Miezi 6 na bado ni Waziri? Jamani nchi yetu, Hawezi kusema anajiuzulu Uwaziri kwa sasa mpaka apone?<br />
<br />
Angalia Kenya Mawaziri wana jiuzulu kwanini wakwetu mpaka waondolewe?
Mkuu unadhani kiwango cha democracy kwetu kimekomaa kwa kiwango cha kulinganisha hata na Rwanda? Achilia mbali Kenya.
Dhana ya uwajibikaji haipo kwetu, so hakuna yeyote mwenye uwezo wa kuhoji kwa nini waziri yuko nje ya ofisi kwa muda hata wa mwaka.
Nani amfunge paka kengele miongoni mwa panya waliopo?
Hakuna wakumnyooshea mwenzake kidole kwani wote ni wale wale.
Hata kama atajiuzulu leo, atafanya hivyo kwa utashi wake na si kwa kushurutishwa na yeyote wa ndani wala nje ya magamba.