Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Wakuu: Kikwete ametuchosha na ulegelege pamoja na ufisadi. Sasa hivi anamhadaa Clinton. Hakuna anachofanya zaidi ya kuwatafutia mafisadi vyakula vyao. Tunawaomba Raia wema wote wamwandikie Rais Mstaafu wakimsihi kumshinikiza Kikwete achukue hatua dhidi ya ufisadi. Mwambieni kwamba juhudi zake hazimnufaishi mtanzania bali mafisadi. Tumeni barua kupitia
sarora@clintonfoundation.org
sarora@clintonfoundation.org