Mwandikieni Bill Clinton

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Wakuu: Kikwete ametuchosha na ulegelege pamoja na ufisadi. Sasa hivi anamhadaa Clinton. Hakuna anachofanya zaidi ya kuwatafutia mafisadi vyakula vyao. Tunawaomba Raia wema wote wamwandikie Rais Mstaafu wakimsihi kumshinikiza Kikwete achukue hatua dhidi ya ufisadi. Mwambieni kwamba juhudi zake hazimnufaishi mtanzania bali mafisadi. Tumeni barua kupitia

sarora@clintonfoundation.org
 
Wakuu: Kikwete ametuchosha na ulegelege pamoja na ufisadi. Sasa hivi anamhadaa Clinton. Hakuna anachofanya zaidi ya kuwatafutia mafisadi vyakula vyao. Tunawaomba Raia wema wote wamwandikie Rais Mstaafu wakimsihi kumshinikiza Kikwete achukue hatua dhidi ya ufisadi. Mwambieni kwamba juhudi zake hazimnufaishi mtanzania bali mafisadi. Tumeni barua kupitia

sarora@clintonfoundation.org

Mpiganaji Mwingereza, tuko pamoja. Nitakuwa wakwanza kumuandikia Clinton. Tunaomba email ya Obama pia..
 
Wakuu: Kikwete ametuchosha na ulegelege pamoja na ufisadi. Sasa hivi anamhadaa Clinton. Hakuna anachofanya zaidi ya kuwatafutia mafisadi vyakula vyao. Tunawaomba Raia wema wote wamwandikie Rais Mstaafu wakimsihi kumshinikiza Kikwete achukue hatua dhidi ya ufisadi. Mwambieni kwamba juhudi zake hazimnufaishi mtanzania bali mafisadi. Tumeni barua kupitia

sarora@clintonfoundation.org

Mwandikie wewe, kama unadhani hiyo email yako hata itafunguliwa!
 
Back
Top Bottom