Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,512
Wakuu,
Naomba tujadili hii dhana ya wanawake kuishi na wadogo zao wa kike kwenye ndoa zao.
Kama mjuavyo familia nyingi za kiafrika kuna utegemezi, hivyo hufanya kati ya mke au mume kuishi na ndugu zao.
Utakuta mke ana mdogo mkaree hatari kuliko yeye alafu anamleta kwake, na mjuavyo mavazi ya mabinti wa siku hizi ni balaa.
Kama mjuavyo wanaume wanavichwa viwili...
Sasa wanaume/wanawake mje hapa mtuambie...
Naomba tujadili hii dhana ya wanawake kuishi na wadogo zao wa kike kwenye ndoa zao.
Kama mjuavyo familia nyingi za kiafrika kuna utegemezi, hivyo hufanya kati ya mke au mume kuishi na ndugu zao.
Utakuta mke ana mdogo mkaree hatari kuliko yeye alafu anamleta kwake, na mjuavyo mavazi ya mabinti wa siku hizi ni balaa.
Kama mjuavyo wanaume wanavichwa viwili...
Sasa wanaume/wanawake mje hapa mtuambie...