Mlandege
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,198
- 582
Sasa si umtumie msg Jamaa mwenyewe??? Halafu wakati mwengine nyinyi ndio mnapelekea tushindwe show... Mtu unafuatilia show as if unafuatilia Malipo ya bima ya NIC. Mara sijui usikojoe ndani, Mara fanya kwa makini, Mara unaniumiza, Mara nimechoka, Mara unanikomoa, Mara unachelewa kukojoa ulikua kwa mchepuko, Mara Hiyo Harufu umetoa kwa mwanamke gani, Mara umechelewa wapi, Mara pokea simu ya Malaya wako!!!! Unategemea kutakua Na show hapo? Hata ule tawi Zima la Mkuyati hupigi show Kali.
Ha ha ha ha ha!! Wakati mwingine huwa na sisi tunaangalia wanaoridhisha... Sasa unakuta una Umbo la Kabati nani apoteze pesa Zake?
safie sana... kuna sura za kupewa hela, ukiona mwanaume kakubania ujue hujamridhisha!!!
zidisha juhudi wenzio kuongwa vits ishakuwa kawaida
Ha ha ha ha ha!! Wakati mwingine huwa na sisi tunaangalia wanaoridhisha... Sasa unakuta una Umbo la Kabati nani apoteze pesa Zake?
Halafu kwa nini wanawake wengi mazuri ndo wanakuwa na mabwawa?
Je wewe unautamu uliokusudiwa?
Ukiwa mtam hakuna mwanaume atakayekunyima hela na hata kuwa tayari kukukosa.
Show huezi, haya basi toa hela napo mbahili, bora basi ungekua handsome napo hamna kitu.. khe!! Usaidiwaje sasa😕
Show huezi, haya basi toa hela napo mbahili, bora basi ungekua handsome napo hamna kitu.. khe!! Usaidiwaje sasa😕
mi sikuizi sielewi...hawasemi kama wanauza wao wanaomba hela tu....WEKENI BEI TUJUE basi.
Mkuu hayajawahi kukukuta haya???Duh aiseee nimeishia kucheka tu!
Ha ha ha ha ha!! Wakati mwingine huwa na sisi tunaangalia wanaoridhisha... Sasa unakuta una Umbo la Kabati nani apoteze pesa Zake?
Sasa si umtumie msg Jamaa mwenyewe??? Halafu wakati mwengine nyinyi ndio mnapelekea tushindwe show... Mtu unafuatilia show as if unafuatilia Malipo ya bima ya NIC. Mara sijui usikojoe ndani, Mara fanya kwa makini, Mara unaniumiza, Mara nimechoka, Mara unanikomoa, Mara unachelewa kukojoa ulikua kwa mchepuko, Mara Hiyo Harufu umetoa kwa mwanamke gani, Mara umechelewa wapi, Mara pokea simu ya Malaya wako!!!! Unategemea kutakua Na show hapo? Hata ule tawi Zima la Mkuyati hupigi show Kali.
Sasa si umtumie msg Jamaa mwenyewe??? Halafu wakati mwengine nyinyi ndio mnapelekea tushindwe show... Mtu unafuatilia show as if unafuatilia Malipo ya bima ya NIC. Mara sijui usikojoe ndani, Mara fanya kwa makini, Mara unaniumiza, Mara nimechoka, Mara unanikomoa, Mara unachelewa kukojoa ulikua kwa mchepuko, Mara Hiyo Harufu umetoa kwa mwanamke gani, Mara umechelewa wapi, Mara pokea simu ya Malaya wako!!!! Unategemea kutakua Na show hapo? Hata ule tawi Zima la Mkuyati hupigi show Kali.
Show huezi, haya basi toa hela napo mbahili, bora basi ungekua handsome napo hamna kitu.. khe!! Usaidiwaje sasa😕