Mwanaume wanavunda sababu ya uchafu.

Mwanaume wanavunda sababu ya uchafu.

>Mwanamke kutokujua hekima ya mungu kwanini inakuwa hivyo inaonyesha siku hizi akuna wanawake !!!!!!! Kuna manungaiyembe .kama wewe ni mwanamke uliye nasifa ya kuwa mwanamke ukimkuta kijanawa kiume ni mchafu kiivyo ungemshukuru mungu sasa unajua kwanini hayo mapungufu aliyonayo mwanaume ya uchafu yanakuonyesha nafasi ya mwanamke kwake kwa kuwa mungu ameweka hiyo gepu ili wanawake muizibe sasa mwanaume akiwa yupo vizuri kwenye kila kitu wewe msichana nafasi yako na umuhimu wako kwake utapungua mwisho jitambueni wadada .ukiona mwanaume awezi kutandika kitanda tambua hiyo ni opportunity yaani fursa kwako kuonyesha umuhimu wako hapo kuna hekima ya mungu kaweka huo upungufu ili wewe msichana uheshimiwe na huyo kijana kwa kumweka smarty
Ooooh mkuki kwa nguruwe!! Leo ndio mnajua kuna Mungu!!! Seriously!!
 
Tatizo sisi tukiongelea vibweka vyenu mnalalamika sana kwamba tunawaonea, kwo kuleni bati tu
Hilo kutoka kwako sishangai hata kidogo shemeji.

Mmepewa ushauri wa usafi, kuweni tu wasafi maana ni njema kwa afya zenu pia, haina haja ya kuanza malumbano.
 
Nashangaa! Siku zote mkuki kwa nguruwe.

Wacha tu watoe maneno machafu ila ujumbe umefika.
Wavulana wa humu wakiguswa basi utegemee matusi kumrudia mtoa mada, atashambuliwa hatari.
 
Na wanaume waongelee wanavyokutana navyo? hujaona mdada kakamilika kila kitu, ila akiachanisha miguu tu utadhani uko feri..tuacheni bana
 
Tafuta mwanaume anaejielewa mrembo, Acha kutoa povu.
 
Back
Top Bottom