Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Ukikutana na hali kama hiyo mtoto wa kike deki, osha vyombo mpikie mtoto wa mwanamke mwenzako mle na maisha yaendelee

Ukikutana na hali kama hiyo mtoto wa kike deki, osha vyombo mpikie mtoto wa mwanamke mwenzako mle na maisha yaendelee

We unaic nani vleeeUnaongea na mm au cm![]()
![]()
![]()
![]()
Labda aisee, na hivi hajaonekana maeneo haya.Amekuja na ID mpya na inawezekana akawa ni espy!![]()
Utakuwa umeachika nn? Mbona unatushambulia Xana!!!Unakuta mwanaume mtanashati inje anavaa shati nzuri suluali nzuri anapendeza kweli.
Lakini jaribu kuingia anapoishi kama dampo michanga nyumbani haijadekiwa mwaka mzima ivi mpoje nyie mwanaume wa ivi
Mashuka machafu .friji ndousiseme INA vunda.
Ukimkuta huko ofisn full kujishaua mtoto wakiume mchafu ivo kisa sijaoa ,eboo ebuacheni hayo mambo kwenye tabia hizo.
Sasaukizama ikulu mwanaume boxar chafuuuuuuuuu imevaliwa mwezi mzima boxar inamatunduvv kama chujio hiyo vest kufubaa kwanini mnajiendekeza hivyo.,masoski machafuuu yanavunda.
Viatu sasa vikivuliwa kama panya aliyekufa loh kwanini hamjipendi hivyoo,
Ebu badilikeni .
Mmmh! Kazi kweli kweliKuna mmoja nilimkuta boxer imevutika lastiki na imeachana katikati matakoni... Kabla ya kuendelea chochote ikabidi nimwambie anipe mda kidogo niishone ile boxer... Nikashona ndo tukaendelea na mengine. Yaani nilimuonea huruma, nje jeans kachomekea mwenyewe na manukato juu, kiatu maana lakini ndani tambara la deki limesingiziwa.
Zimeenda wapi?Hahahahaha mbavuu sina
Shemeji kwani ni mashindano? Au nyie kushauriwa mwiko, mkishauriw basi mbio kwenye papuchi!!!!Tukianza kuziongelea papuchi hapatakalika hapa, kwahiyo HATUSHINIKIZWI
Hili mbona kama limewagusa sana!! Hivi kama wewe ni msafi si basi acha wachafu wapate ujumbe wao!!Mkuu nahisi iliyoleta uzi ni id yako nyingine haiwezekani ushindwe kutumia akili na kuelewa kua mimi nimejibu kulingana na nyuzi zake za nyuma mpaka hii ya leo, wala sijasema kama alichoongelea hakifai au kinafaa.
Badala yake umekuja kunicrush kwa nguvu zote. No wonder had majoka mnakutana nayo kisa kuzoea zoea wanaume mwisho mkazoea jini![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndiyo maana nimeacha wachafu washughulike naye kwenye hiyo mada ya uchafu mimi nikajikita kwingine.Hili mbona kama limewagusa sana!! Hivi kama wewe ni msafi si basi acha wachafu wapate ujumbe wao!!
Hizo nyuzi zake zingine zinahusiana nini na suala la kuwashauri muwe wasafi?
Mke mwenza mume nimekuachia ila bado tu unanimiss!!!Amekuja na ID mpya na inawezekana akawa ni espy!![]()
Tuwatongoze kwa shda, hela tuwahonge, bado hamridhiki mnakuja kututanga huku! Tutasitisha huduma. MTUACHE!
Mwanamke kutokujua hekima ya mungu kwanini inakuwa hivyo inaonyesha siku hizi akuna wanawake !!!!!!! Kuna manungaiyembe .kama wewe ni mwanamke uliye nasifa ya kuwa mwanamke ukimkuta kijanawa kiume ni mchafu kiivyo ungemshukuru mungu sasa unajua kwanini hayo mapungufu aliyonayo mwanaume ya uchafu yanakuonyesha nafasi ya mwanamke kwake kwa kuwa mungu ameweka hiyo gepu ili wanawake muizibe sasa mwanaume akiwa yupo vizuri kwenye kila kitu wewe msichana nafasi yako na umuhimu wako kwake utapungua mwisho jitambueni wadada .ukiona mwanaume awezi kutandika kitanda tambua hiyo ni opportunity yaani fursa kwako kuonyesha umuhimu wako hapo kuna hekima ya mungu kaweka huo upungufu ili wewe msichana uheshimiwe na huyo kijana kwa kumweka smatyUnakuta mwanaume mtanashati inje anavaa shati nzuri suluali nzuri anapendeza kweli.
Lakini jaribu kuingia anapoishi kama dampo michanga nyumbani haijadekiwa mwaka mzima ivi mpoje nyie mwanaume wa ivi
Mashuka machafu .friji ndousiseme INA vunda.
Ukimkuta huko ofisn full kujishaua mtoto wakiume mchafu ivo kisa sijaoa ,eboo ebuacheni hayo mambo kwenye tabia hizo.
Sasaukizama ikulu mwanaume boxar chafuuuuuuuuu imevaliwa mwezi mzima boxar inamatunduvv kama chujio hiyo vest kufubaa kwanini mnajiendekeza hivyo.,masoski machafuuu yanavunda.
Viatu sasa vikivuliwa kama panya aliyekufa loh kwanini hamjipendi hivyoo,
Ebu badilikeni .