- Thread starter
- #101
FactSiku zote baadhi ya wanaume wakiambiwa kweli wanajifanya wakali. Sidhani kama mlioko humu jf wote ni wasafi hivyo kwa baadhi lazima ujumbe utawagusa kwa namna moja.
Kwa wale wachafu mbadilike.
FactSiku zote baadhi ya wanaume wakiambiwa kweli wanajifanya wakali. Sidhani kama mlioko humu jf wote ni wasafi hivyo kwa baadhi lazima ujumbe utawagusa kwa namna moja.
Kwa wale wachafu mbadilike.
KUMBE MGENI UNA KAMBA MGUUNI have notice itUnakuta mwanaume mtanashati inje anavaa shati nzuri suluali nzuri anapendeza kweli.
Lakini jaribu kuingia anapoishi kama dampo michanga nyumbani haijadekiwa mwaka mzima ivi mpoje nyie mwanaume wa ivi
Mashuka machafu .friji ndousiseme INA vunda.
Ukimkuta huko ofisn full kujishaua mtoto wakiume mchafu ivo kisa sijaoa ,eboo ebuacheni hayo mambo kwenye tabia hizo.
Sasaukizama ikulu mwanaume boxar chafuuuuuuuuu imevaliwa mwezi mzima boxar inamatunduvv kama chujio hiyo vest kufubaa kwanini mnajiendekeza hivyo.,masoski machafuuu yanavunda.
Viatu sasa vikivuliwa kama panya aliyekufa loh kwanini hamjipendi hivyoo,
Ebu badilikeni .
Uwe msafi hilo pivu hahaaawewe ndo ulikuwa unatafuta mume kwa akili fyatu hiii hahaha huolewi wewe
hujielewi weweUwe msafi hilo pivu hahaaa
Hata kama hainihusu, lakini siwezi kuona wanaume wanashushuliwa then mimi nikaushe,Hilo kutoka kwako sishangai hata kidogo shemeji.
Mmepewa ushauri wa usafi, kuweni tu wasafi maana ni njema kwa afya zenu pia, haina haja ya kuanza malumbano.
Hahaha...!Umeingia kwa kasi mara ana kibamia anataka kukuoa...mara wanaume zako wanavunda.
Wavundaji wanajulikana tuuuAcha umalaya wewe

Mkiambiwa ukweli mapovuu hahaaaaa JF rahaa,team wavundaji wamejulikanaUkiwa msafi utampimaje demu unayetaka kuoa, nifanye usafi ili Nije oa demu livivu kama mtoa Mada, hayo ni majukumu yako mwanamke na ni kipimo mojawapo cha kutafuta mke kwa mwanaume!
Uwatetee team wavundaji waambie wabadilike wawe wasafi ili nyuzi za kulia umu kusalitiwa zipungue ,unakuta mwanaume ananuka kikwapaa ka mzoga mmmh kwapaaaaaa lina toaharufu ka vile sijui nn akikupita unatamani utapike lol! M badilike muige wenzenu ambao wapo wachache sana wapo vijana wasafi adi raha lakini mingine lol ka mibeberuHata kama hainihusu, lakini siwezi kuona wanaume wanashushuliwa then mimi nikaushe,
Nilishakula kiapo cha kumtetea Ninja yeyote na popote pale,
Kwangu Mimi uanaume kwanza then wanawake baadae
mstahi!Tukianza kuziongelea papuchi hapatakalika hapa, kwahiyo HATUSHINIKIZWI
Usipaniki mkuuu bado unanafasi yakubadilika.Ukiwa msafi utampimaje demu unayetaka kuoa, nifanye usafi ili Nije oa demu livivu kama mtoa Mada, hayo ni majukumu yako mwanamke na ni kipimo mojawapo cha kutafuta mke kwa mwanaume!
ID zinazofunda zinashika kasi hahaaa...sure ukiwa mvundaji uwezi ona najielewa.hujielewi wewe
Acha ushamba wewe raha ya mwanaume kaharufu kaubeberu kidogo..! Mwanaume mrembo kama bwabwa mmnyuuuuu..!Unaongea na mm au cm![]()
![]()
![]()
![]()
Ndomana nimekula bati..mstahi!