Mwanaume wanavunda sababu ya uchafu.

Mwanaume wanavunda sababu ya uchafu.

Uwatetee team wavundaji waambie wabadilike wawe wasafi ili nyuzi za kulia umu kusalitiwa zipungue ,unakuta mwanaume ananuka kikwapaa ka mzoga mmmh kwapaaaaaa lina toaharufu ka vile sijui nn akikupita unatamani utapike lol! M badilike muige wenzenu ambao wapo wachache sana wapo vijana wasafi adi raha lakini mingine lol ka mibeberu
Muulize miss chagga Anataka mwanaume msafi lakini hana hela au anataka mwanaume muuza mkaa lakini Hela hazikauki kwenye wallet...
Alafu ninarudia tena, kama mkiendelea nitaomba ridhaa kutoka kiumeni namimi niyashushe makombora, na nikianza msije mkaniita sina nidhamu, nimetoa onyo
 
Back
Top Bottom