action speaks louder than wordsMsanii hapa usanii wote kwisha!
ujumbe umekufikia.
hata mrusha thread UJUMBE UMEMFIKIA!hehehehehe.kakimbia
wapi bwana wewe!haya endelea.action speaks louder than words
Hakuna kitu.
Umeona wapi mtu kachimba kaburi la kujizikia mwenyewe??
hearsay zenu zinawakamata kweli kweli
maneno mengi
jaribu uone maajabu
truth crack times
tatizo hata ukimbikiri wewe hatakuja kubakia wako peke yako
KUWA WAKO PEKE YAKO NI ISHU NYINGINE!......na huenda inahitaji thread inayojiyegemeatatizo hata ukimbikiri wewe hatakuja kubakia wako peke yako
Mimi sikumuta mke wangu bikra. sasa kama wewe ndo kidume uliyembikiri ukidhani utafungua milango kila unapoona chaka jaribu uone habari yake. Umeshawahi kuona mwanaume anakwenda mwezini? just TRY usikie kwa kuona.
Hahaha! Mkwara mbuzi huo! Hebu muulize mkeo ni nani aliyembikiri kama atakuambia! Unamegewa wewe, tena kirahisi ajabu. Na kibaya zaidi mkeo ndio analipia gharama za kumegwa!
Najuta kuanzisha hii thread, mnahatarisha ndoa za watu nyie watu tupeane MOYO
mpwaaaaaaaaaaaaaaaa!nguli alianzisha sredi akaikimbiaHahaha! Mpwa umevunja mbavu zangu! Nimecheka mpaka basi! Siku nyingine ukitaka kuanzisha sredi yenye kuhatarisha ndoa za watu ni-PM kwanza! Mpwa hapa umeua! LOL! Na imajini waifu wangu amekutana na lijamaa lililovunja bikra! Patakuwa hapatoshi. Ndio maana sijawahi kumuuliza manake unaweza kuta ni rafiki yako!
heee!No commentHahaha! Mkwara mbuzi huo! Hebu muulize mkeo ni nani aliyembikiri kama atakuambia! Unamegewa wewe, tena kirahisi ajabu. Na kibaya zaidi mkeo ndio analipia gharama za kumegwa!
hahahahaha!nimecheka kidogo nifeheee!No comment
haya nguli!NAKUPA MOYONajuta kuanzisha hii thread, mnahatarisha ndoa za watu nyie watu tupeane MOYO
ha ha ha ha ha. kama kuna comment just put it here pls ZDheee!No comment
MPWA,ha ha ha ha ha. kama kuna comment just put it here pls ZD
Mkuu huu mkwara tu, ila kwa hili huna njia kaka, wala usiumize akili yakoMimi sikumuta mke wangu bikra. sasa kama wewe ndo kidume uliyembikiri ukidhani utafungua milango kila unapoona chaka jaribu uone habari yake. Umeshawahi kuona mwanaume anakwenda mwezini? just TRY usikie kwa kuona.