Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
MPE MOYO!Mkuu huu mkwara tu, ila kwa hili huna njia kaka, wala usiumize akili yako
mwenzie ameomba APEWE MOYO NIKAMPA
MPE MOYO!Mkuu huu mkwara tu, ila kwa hili huna njia kaka, wala usiumize akili yako
hahahahaha!nimecheka kidogo nife
ha ha ha!Pillaaaz! Leo tutawajua watu waliooa vitu used! SUBIRI! Leo nguli kafanikiwa kunivunjia mbavu zangu! Nacheka hapa watu wananiona kama kreze!
the same to me. Duh! Nguli umeleta balaahahahahaha!nimecheka kidogo nife
Mkuu huu mkwara tu, ila kwa hili huna njia kaka, wala usiumize akili yako
HA HA HAHAHA!Mpwa nakwambia leo nguli kakamata watu pabaya! Watu wanashindwa kuukubali ukweli! Hahaha! Acheni nicheke kwanza! LOL!
ha ha ha!
amesema TUPEANE MIOYO!
hahahahahahahahahahha
mambo ya thedi hendi!
zd AMEKIMBIA
Ebu wenye ndoa kwanza walist majina yao hapaMPE MOYO!
mwenzie ameomba APEWE MOYO NIKAMPA
Sikutaka kuongea lakini.....Hapo ndipo paliponifanya nicheke zaidi na zaidi! Kina bht, shishi, triplets, nyamayao,mj1 na wengineo leo mbona wamesepa? Hahaha! Mada ngumu hii?
pasepsheni ya kale hiyo. hakuna ukweli hapo. Nani humu ameona mke aliyembikiri?
Ukisahau password unadhani unaweza kuget access? acha story za mtaani
SUBUTUUUUUUU!!!!!
hehehehehe
Ebu wenye ndoa kwanza walist majina yao hapa
halafu wale ambao hawakuwakuta wake zao na vikombe vizima nao wawe wazi tu, tujue je ni JF members wangapi wana pressure za kupanda na kushuka
hahaaa nani kakuambia naweza sahau password ya K..mimi nina watu wawili niliwabikiri miaka hiyo ya ujana...today we are turning 46 ,kidume naendelea kugonga tu kma nanawaaaaaa
Sikutaka kuongea lakini.....
Mbona nyie mpo biased sana na hii mada.Mnawafocus wanawake wakti hakuna watu used kama wanaume.kwani nyie huwa mnakuwa bikra wakati wa kufunga ndoa? au na nyie wanawake wa kwanza wana access muda wowote? Katika wanaume 10 yani ni 1 tu ndio huwa anakuwa bikra wakati wa ndoa.Nanyie mnaona halali yenu kabisaaa.
Ebu wenye ndoa kwanza walist majina yao hapa
halafu wale ambao hawakuwakuta wake zao na vikombe vizima nao wawe wazi tu, tujue je ni JF members wangapi wana pressure za kupanda na kushuka
Sikutaka kuongea lakini.....
Mbona nyie mpo biased sana na hii mada.Mnawafocus wanawake wakti hakuna watu used kama wanaume.kwani nyie huwa mnakuwa bikra wakati wa kufunga ndoa? au na nyie wanawake wa kwanza wana access muda wowote? Katika wanaume 10 yani ni 1 tu ndio huwa anakuwa bikra wakati wa ndoa.Nanyie mnaona halali yenu kabisaaa.
Lakini pia tujiulize, mbona wanaume hatujiulizi mara mbili mbili linapokuja suala la kutafuta mapozea, iwe nje ya ndoa au ya mahusiano? Tuelewe tu kuwa, mkuki kwa nguruwe... na mwosha huoshwa!
What goes around comes around.Mtulie basi,Kama unammega Mke wa mwenzio kwa kisingizio kuwa ulimbikiri jua na wewe wa kwako anamegwa na wale waliombikiri.
Mbaya zaidi Mnao wake,Na wale age yenu mliowabikiri mnawamega bado mnatafuta na watoto wa shule nao muwabikiri,Dah huu uchafuzi wa mazingira inabidi ujadiliwe Copenhagen.
Kumbe msilalamike basi wake zenu wanapomegwa au wakiwa sio bikra.Kakudanganya nani? Katika kumi WOTE wanakuwa used! Labda kama ungeniambia katika 10,000 mmoja anakuwa bikra ningeweza kukulubalia japo kwa mashaka.
Kumbe msilalamike basi wake zenu wanapomegwa au wakiwa sio bikra.
Wewe aliyekubikiri akikutokea una ubavu wa kumkatalia? Hiyo ndiyo hoja!