Ze General
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 1,508
- 1,246
Mkuu upo...naona huyu mtoto amekataa wanaume wa ukanda wakoMkuu nimekupata,kumbe ni wewe
Sent from my GT-I9105P using JamiiForums mobile app
Mkuu upo...naona huyu mtoto amekataa wanaume wa ukanda wakoMkuu nimekupata,kumbe ni wewe
Anatafuta ambao hawataendeshwa na watakaokidhi vigezo vyakeMkuu upo...naona huyu mtoto amekataa wanaume wa ukanda wako
Sent from my GT-I9105P using JamiiForums mobile app
Najua kwa ukanda ule damu yetu huwa haiendi ipo siku atarud haijalishi atakaa miaka mingap....Anatafuta ambao hawataendeshwa na watakaokidhi vigezo vyake
Kwel hivyo ana hofu na iloNajua kwa ukanda ule damu yetu huwa haiendi ipo siku atarud haijalishi atakaa miaka mingap....
Sent from my GT-I9105P using JamiiForums mobile app
Hizo kabila ulizozitaja apo ndio watiaji mimba maalufu apa nchini na wewe uzitaki au unawashwa washwaNatafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.
ww n great thinkerNdo nyie waiba nyota za wanaume punde wanapolala na nyie ,,,katafute hao wanaume huko uswahilini sio humu kwenye great thinkers
nmependa hyo: aweke zake pia sio oh maji ya kundemaji ya kunywa....Weka sifa zako pia ili kuharakisha mchakato. Ila hili la kumuambia mtoto Babake alikufa kwa ajili nachelea kusema
utasubiri sana.
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.
Nipo tayar niyafuteNatafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.