Mwanaume wa kuoa

Mwanaume wa kuoa

wewe ni mwanaume na siyo mwanamke kama ulivyobandika andiko lako.
 
Masharti magumu vyupi viko vingi mtaani bila mizinga.punguza masharti,unauza?
 
Yaani wewe ndo unaoa? Au mimi sijaelewa kichwa cha habari.
 
Mlio join leo mnahitaji wanaume. Wewe wataka mume mwenzio kule kasema anahitaji mwanaume kwa usiku mmoja tu.. May be ni mtu mmoja au ndo midume at work

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifatazo

Mkristo

Miaka 30-45

Mgane, divorced, au single parent

Awe na uwezo makubwa kifedha

Asie mchoyo wala mbili wa hela

Mimi;
Mkristo

Mnene kidogo sana (huwezi kuniita Bonge)

Mweusi sio sana

Sina kazi ila elimu ninayo kidogo

Yeyote alie tayari come to pm for more information.

Yani wewe ni kuku kabisaaaaa!!unafikiri mwenye umri huo na aliye na uwezo mkubwa kifedha kama utakavyo wewe bado yupo single?tena hapa JF ambapo kuna full MITONGOZO????Nenda kanisani kwako kajaribu.
 
Huyu ni kidume kama yule qa asubuhi aliyekuwa anataka mwanaume wa kulala naye
 
Ningeku pm ila kwa ufikiri wako na ulivyo utatuhatibia ukoo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom