Mwanaume wa kuoa

Mwanaume wa kuoa

Yaani wewe ndo unaoa? Au mimi sijaelewa kichwa cha habari.

Yeye ni mwanamme anaetafuta mwanamme mwenzake amuwowe!

Nadhani Ishmael anaweza kumsaidia manake na yeye ni bonge sana. Ana shavu ka Dodoki pori na ni mweusi tiii!
Tatizo hana Fweza na nyumba pia hana, anachangia Chumba na pia Huyu ni mbeba Box tu.
 
Last edited by a moderator:
mmmh!!anyway utapata tu mtu ila hiko kigezo cha uwezo mkubwa kifedha inaweza kukugharimu sana.......maana mtu anaweza kuona huitaji ndoa ila unahitaji usaidiwe kulea watoto ulionao ingawa hukusema km unao....... Kila la kheri!
 
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifatazo;

Mkristo

Miaka 30-45

Mgane, divorced, au single parent

Awe na uwezo makubwa kifedha

Asie mchoyo wala mbili wa hela

Mimi;
Mkristo

Mnene kidogo sana (huwezi kuniita Bonge)

Mweusi sio sana

Sina kazi ila elimu ninayo kidogo

Yeyote alie tayari come to pm for more information.
we una fedha kiasi gani? elimu gani? ni bahili au sio bahili?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom