Mpaka sasa kura za turufu naziona zinaelekezwa kwa Joseverest kuwa mwenyekiti wa kitengommefikia wapi?
Mpaka sasa kura za turufu naziona zinaelekezwa kwa Joseverest kuwa mwenyekiti wa kitengommefikia wapi?
Duuuuukaja na uzi huuhttps://www.jamiiforums.com/threads/dada-uliza-lolote-la-msingi-kuhusu-sisi-wanaume-nitakujibu.1270471/
tukauliza maswali weee akatujibu hivi:
Ahsanteni kwa maswali yenu mazuri.
Naomba kabla sijajibu hata mmoja, naomba niulize hili swali la nyongeza kwenu wadada.
Mwanaume ni nani, nini maana ya mwanaume?!
Umejuaje hayoMAGARI7 ni ke wala sio me, kwahiyo msiconfuse.
kaja na uzi huuhttps://www.jamiiforums.com/threads/dada-uliza-lolote-la-msingi-kuhusu-sisi-wanaume-nitakujibu.1270471/
tukauliza maswali weee akatujibu hivi:
Ahsanteni kwa maswali yenu mazuri.
Naomba kabla sijajibu hata mmoja, naomba niulize hili swali la nyongeza kwenu wadada.
Mwanaume ni nani, nini maana ya mwanaume?!
Jibu. Kukojoa ukiwa umesimama ni sifa ya hayawani nikimaanisha mbwa , ng'ombe,mbuzi n.k! Binadamu mwenye akili anakojoa akiwa amechuchuma ili kuepusha mkojo kumrukia kwenye mavazi yake, na pia akimaliza anajisafisha kwa maji ikiwa haja ndongo au kubwa! Lakini wanaume wa mikoani wanatembea na kinyesi na mikojo kwenye mavazi yao.Sijui kwanini wanaume wa Dar wanakojoaga mkojo wakiwa wamechuchumaa
Heee weeeMpaka sasa kura za turufu naziona zinaelekezwa kwa Joseverest kuwa mwenyekiti wa kitengo
Jibu. Kukojoa ukiwa umesimama ni sifa ya hayawani nikimaanisha mbwa , ng'ombe,mbuzi n.k! Binadamu mwenye akili anakojoa akiwa amechuchuma ili kuepusha mkojo kumrukia kwenye mavazi yake, na pia akimaliza anajisafisha kwa maji ikiwa haja ndongo au kubwa! Lakini wanaume wa mikoani wanatembea na kinyesi na mikojo kwenye mavazi yao.
Tutake radhi sisi wanaume,nani kakufundisha huo upuuziJibu. Kukojoa ukiwa umesimama ni sifa ya hayawani nikimaanisha mbwa , ng'ombe,mbuzi n.k! Binadamu mwenye akili anakojoa akiwa amechuchuma ili kuepusha mkojo kumrukia kwenye mavazi yake, na pia akimaliza anajisafisha kwa maji ikiwa haja ndongo au kubwa! Lakini wanaume wa mikoani wanatembea na kinyesi na mikojo kwenye mavazi yao.
ahahaaaa jf kuna vituko yaani
kumbe ni kweli mnachuchumaa huko dar mkikojoa?Jibu. Kukojoa ukiwa umesimama ni sifa ya hayawani nikimaanisha mbwa , ng'ombe,mbuzi n.k! Binadamu mwenye akili anakojoa akiwa amechuchuma ili kuepusha mkojo kumrukia kwenye mavazi yake, na pia akimaliza anajisafisha kwa maji ikiwa haja ndongo au kubwa! Lakini wanaume wa mikoani wanatembea na kinyesi na mikojo kwenye mavazi yao.
Jibu. Kukojoa ukiwa umesimama ni sifa ya hayawani nikimaanisha mbwa , ng'ombe,mbuzi n.k! Binadamu mwenye akili anakojoa akiwa amechuchuma ili kuepusha mkojo kumrukia kwenye mavazi yake, na pia akimaliza anajisafisha kwa maji ikiwa haja ndongo au kubwa! Lakini wanaume wa mikoani wanatembea na kinyesi na mikojo kwenye mavazi yao.
kumbe wanaume wa dar wanakojoa huku wamechuchumaa cheki majibu yaoMi nimecheka sana wenzie walivyokuwa wanamshushua[emoji23][emoji23][emoji23]
Jibu. Kukojoa ukiwa umesimama ni sifa ya hayawani nikimaanisha mbwa , ng'ombe,mbuzi n.k! Binadamu mwenye akili anakojoa akiwa amechuchuma ili kuepusha mkojo kumrukia kwenye mavazi yake, na pia akimaliza anajisafisha kwa maji ikiwa haja ndongo au kubwa! Lakini wanaume wa mikoani wanatembea na kinyesi na mikojo kwenye mavazi yao.
Ww ni ke?![emoji2] [emoji2] [emoji2] nilijua tu mtoa mada ni empty set ndiyo maana sikuuliza kitu
"Ndongo" ndio nini weyee mwanaume wa Dar?Jibu. Kukojoa ukiwa umesimama ni sifa ya hayawani nikimaanisha mbwa , ng'ombe,mbuzi n.k! Binadamu mwenye akili anakojoa akiwa amechuchuma ili kuepusha mkojo kumrukia kwenye mavazi yake, na pia akimaliza anajisafisha kwa maji ikiwa haja ndongo au kubwa! Lakini wanaume wa mikoani wanatembea na kinyesi na mikojo kwenye mavazi yao.
Tulio staarabika!kumbe ni kweli mnachuchumaa huko dar mkikojoa?