ZOPPA
JF-Expert Member
- Jan 20, 2017
- 2,751
- 2,926
mkali wew nakukubaliDuuuh aseeeh
mkali wew nakukubaliDuuuh aseeeh
pamoja sana mkuumkali wew nakukubali
[emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818]Jinga kabisa wewe kwanza unajua mbuzi anavyokojoa? Jike na dume
Hapo tayari umeongea kitu usichokijua
Na kama wewe unakojoaga kwa kuchuchumaa itakua una kitobo sio mrija tulionao wanaume wengine
Kaaa pembeni kabisa beba na handbag yenye tishu na mwisho wa mwezi usisahau safari yako ya Apollo.
Usirudie tena kutudhalilisha wa mkoani
Nenda hospital labda watakuelezea,kama una dini waulize jinsi ya kuiendea haja ndogo kwa afya.Sijui kwanini wanaume wa Dar wanakojoaga mkojo wakiwa wamechuchumaa
Hospitali wanadai sababu ni wanaogopa fistulaNenda hospital labda watakuelezea,kama una dini waulize jinsi ya kuiendea haja ndogo kwa afya.
Ngoja niitafute dogo. Naona mpaka wamekuanzishia uzi mpyaHaha. Kaka Mimi sijui hawa watu wamekuwaje, embu naomba nawe upitie thread yangu uone kama sijajibu maswali.
Mbuzi jike mkubwa wee shenzzzyPia watu wamikoani wana sifa ya kukurupuka sanay na mihemko mingi sana.
Mwanaume mashinekaja na uzi huuhttps://www.jamiiforums.com/threads/dada-uliza-lolote-la-msingi-kuhusu-sisi-wanaume-nitakujibu.1270471/
tukauliza maswali weee akatujibu hivi:
Ahsanteni kwa maswali yenu mazuri.
Naomba kabla sijajibu hata mmoja, naomba niulize hili swali la nyongeza kwenu wadada.
Mwanaume ni nani, nini maana ya mwanaume?!
Hata Mimi nashangaa, naomba uupitie bro.Ngoja niitafute dogo. Naona mpaka wamekuanzishia uzi mpya