Humilis
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 881
- 1,034
Bi mkubwa kanifundisha kupika nikiwa mdogo sana,pia alipokuwa anakuwa zamu kazini mzee alikuwa akinipikia vizuri so nilijua ving nikiwa shule ya msingi.Na nikabahatika kupita seminari hvyo nikaongeza ujuzi zaidi..Vyakula vingi nafahamu namna ya kupika kwa mapish mbalimbali.
Sometimes naamua kuchanganya tu hiki na kile natoa chakula fulan kipya ambacho sijawah kula, maana chakula cha namna fulan ni mchanganyiko tu wa vyakula vingne tofaut kwa namna inayofaa.
Mfano juz nimechanganya yai + maharage + chainizi unavikaanga kinatoka kitu fulan,msosi mpya naenjoy.
Napenda sana kupika,kuwapikia watu na kula chakula nikipikacho.
Sometimes naamua kuchanganya tu hiki na kile natoa chakula fulan kipya ambacho sijawah kula, maana chakula cha namna fulan ni mchanganyiko tu wa vyakula vingne tofaut kwa namna inayofaa.
Mfano juz nimechanganya yai + maharage + chainizi unavikaanga kinatoka kitu fulan,msosi mpya naenjoy.
Napenda sana kupika,kuwapikia watu na kula chakula nikipikacho.