Mwanaume unatawaliwa na mkeo

Mwanaume unatawaliwa na mkeo

Jamani mapenzi ni kupendana kuridhishana kudaidiana teena kwaa pande zoote mbili sio tuu mwanamke awe mtumwa wa mumewe bali kila mmoja awe mtumwa wa mwenzwe kwa upendo na sio manyanyaso,niinii maji bafuni kupika au kufua teeena chuuupi kabisa mume awezafanya yooote hayo kws mkewe ispokua iwe ni kwa mahaba na sio kushurutisha,mapenzi ni kudekezana na c mke pekeake kumdekeza mumr

Mapenzi ni hela b.o.y.a wewe!
 
Ok. mwanamke jinsi utakavyomkaribisha kwako cku za kwanza ndo atakavyokuwa hivo hivo, kwa hiyo unatakiwa uanze kudhibiti kila dalili mbaya mapema.

jidanganye atakuwa hivo hivyo.........hao ni watu wake.....wanachange zaidi ya cameleon....ni kuwa dhabiti na misimamo yako na kukomaa kiume.....
 
Kuna ukweli ndani yake ingawa hii imekaa kinadharia sana,mwanamke anayejitambua hawezi hata siku moja kwenda kinyume na taratibu za ndoa maana anajua fika kuwa mume ana mamlaka ya kufanya maamuzi ndani ya nyumba.Inawezekana kabisa kuwa ndani ya nyumba kuna migogoro ya hapa na pale lakini haiwezi kubadili utaratibu wa ndoa husika kwa mama kuwa chini ya baba,ukiona ndoa ya namana hiyo ujue hapo kuna walakini na udhaifu mkubwa toka kwa mwanaume.
 
ziko njema sana zinahitaji utekelezaji sio tu kwenu hata sisi tunaanza kukaa chonjo na tabia zetu mbofu mbofu
 
Nadhani labda niwe sijakufahamu vizuri lakini mbona mambo ya kupandwa kichwani Sio sawa, inakuwaje mpaka anakupanda? Kama mkeo unampenda mnaelewana mnapanga pamoja kugombana kupo ila kupigana hakupo, wala kujifanya wewe uko juu hata Kama unataka Chalii Kwa mkeo unataka akufate hapo kosa, jua kwamba ukideka wenzio wanadekeza, ukinyeta wenzio wananyeteza, wala kumfanya akuhitaji ki mawazo hujajenga bado...

Inaonekana huwajui wanawake vizuri, wanawake siku zote hupenda kuwapanda kichwani wanaume ili wakajisifu kwa mashoga zao kwa hiyo inabidi uishi nao kwa akili sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom