Mwanaume unasemaje 'Happy birthday to me'?

Mwanaume unasemaje 'Happy birthday to me'?

Guacamole

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
6,079
Reaction score
16,035
Hivi wanangu mnaanzaje kuandika maneno kama haya mkitaka watu wawa wish?

Are you okay au dish limeyumba somewhere!?
SnapInsta.to_496811134_18066456310971971_7304785218083051387_n.jpg
 
Ila wanaume tuna misimamo yetu...Kuna mwengine atasema haturuhusiwi kutumia emoji mwengine haturuhusiwi kula chipsi daah

Ila yote kwa yote Sheria zisivunjwe tuendelee kukaza
Emoji siitumii kama ni jumbe official au nataka kujenga hoja,

Otherwise emoji inatumika kuonyesha hisia za mawasiliano baina ya wanaowasaliana!!
 
Ila wanaume tuna misimamo yetu...Kuna mwengine atasema haturuhusiwi kutumia emoji mwengine haturuhusiwi kula chipsi daah

Ila yote kwa yote Sheria zisivunjwe tuendelee kukaza
Mimi natumia mbona mjegeje haujaondoka natumia emoj kila kitu natumia 😂😂😂
 
Kwanza mwanaume hautakiwi kujua kama ulizaliwa. Hautakiwi kujua ulizaliwa lini.
Mie nikiendaga sehemu fulani inayotoa huduma za kijamii, ikatokea nikaulizwa umri huwa napata kigugumizi kidogo sababu mambo ya birthday sinaga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom