Mwanaume, Una miaka 26? Ingia kwenye ndoa, acha uoga

Target yangu ni Vijana WA kiume wawe strong
 
Mume mpende mke wako na mke muheshimu mume wako,hii kauli haimaanishi wanaume hawahitaji upendo au wanawake hawahitaji kuheshimiwa Bali mume anazingatia sana kuheshimiwa yani hadhi na mamlaka yy ni kichwa Cha familia,halafu mwanamke anazingatia sana upendo yani urafiki na mambo kama hayo.Narudi kwenye hoja yako,hivi mtoa mada,kwa ulimwengu huu tulipofikia unahisi ili mwanaume apewe hiyo heshima anayostahili kwenye ndoa anahitaji mambo gani? Na ili amwonyeshe huyo mwanamke mapenzi anahtaj awe anamfanyia mambo gani? Hata hivyo kuoa ni jambo jema kwa watakaoamua lakini pia kuoa sio lazima(Kutokana na maandiko ya Biblia) ,hivyo acha Kila mtu afanye jambo lake kwa wakati wake na mustakabali wake.
 
Chief inashangaza huyotunaetaka kumuoa ni nani?kwan
 
Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…