Kuna msemo WA kataa ndoa ni msemo WA kioga kwa wAnaume Sababu kuu ya kataa ndoa ni.
Éti Wanawake ni wapenda hela, wajeuri hawajatulia.n.k.
Unakuta a man ni 29yrs anaogopa kuoa mwanamke mwenye elimu,pesa au mzuri kisa Eti atamsumbua
Bro kaza kiume ingia kwenye ndoa mpe mwanamke wako vigezo na masharit ya ndoa halafu stay real focus n'a maisha
Mwambie mwamke wako akupende asikupende Ila kukuheshimu ni lazima
Mwambie hakuna second chance akikucheat anarudi nyumban kwao stay strong .
tongoza mara moja kama hakutaki achan nae wanawake ni mwengi sana.
miaka 30 ni Muda WA kutafuta mtoto WA pili Mwanaume
Éti Wanawake ni wapenda hela, wajeuri hawajatulia.n.k.
Unakuta a man ni 29yrs anaogopa kuoa mwanamke mwenye elimu,pesa au mzuri kisa Eti atamsumbua
Bro kaza kiume ingia kwenye ndoa mpe mwanamke wako vigezo na masharit ya ndoa halafu stay real focus n'a maisha
Mwambie mwamke wako akupende asikupende Ila kukuheshimu ni lazima
Mwambie hakuna second chance akikucheat anarudi nyumban kwao stay strong .
tongoza mara moja kama hakutaki achan nae wanawake ni mwengi sana.
miaka 30 ni Muda WA kutafuta mtoto WA pili Mwanaume