ContinousImprovement
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 290
- 268
Tumegombana sisi, kaamka kwa hasira, alikuwa ananyonyesha mtoto nikamwambia niachie mtoto. Sasa mtihani mtoto analia anataka kunyonya. Bado kidogo na mimi nilie sikujua nifanyeje? Nikawaza nimpe maji nichanganye na Glucose? Hapana. Ikabidi nirudi kwa wife nikambembeleza anisamehe. Aamke ampe mtoto nyonyo.
Mtoto alikuwa analia sana. Nusura na mimi nilie. Sikutaka kuonyesha kwamba I can handle the kid bila yeye kwa kumpa chakula au kumuandalia kitu kwa kisingizio cha mimi kulala kuonyesha kwake kuwa namjali mtoto.
Wake zetu wana mbinu nyingi za kutikisa kibiriti. Ila nimewaza, wanaume tuna msaada gani kwenye Familia? Au ni kuleta hela tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto alikuwa analia sana. Nusura na mimi nilie. Sikutaka kuonyesha kwamba I can handle the kid bila yeye kwa kumpa chakula au kumuandalia kitu kwa kisingizio cha mimi kulala kuonyesha kwake kuwa namjali mtoto.
Wake zetu wana mbinu nyingi za kutikisa kibiriti. Ila nimewaza, wanaume tuna msaada gani kwenye Familia? Au ni kuleta hela tu?
Sent using Jamii Forums mobile app