The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,018
- 8,104
Wakuu Kwema!...
Tatizo la sisi wanaume wengi tunajishusha na kujidharau wenyewe mwisho kukosa dira ya mwanamke unayemtaka. point yangu hapa ni unadhifu na umaridadi wa akili na hata mwonekano jinsi unavyo kutana na mwanamke.
Amna kitu kitakushusha kama kutongoza tongoza ovyo yaani kila mwanamke vinuka mkojo na chupi vyote unatongoza tongoza na wale wanuka matako na wavaa mawigi unatongoza yaani hii system ya kila demu unachukua namba inashusha hadhi kabisa.
Ishi ifike mahali mwanamke akuogope fake fake uwezavyo hata kama huna kitu halooo ukijaribu tu utafurahia yaani hadi wale watoto wa ma DED utakula wale wanaotafutiwa waume na shangazi zao wa TRA lazima uwale na mtaji utapewa na harusi fake ya uongo utafanyiwa.
Amna jambo zuri kama kujiupgrade kwenye maisha even uko chini sasa unavo vaa, gari unayoendesha, msosi, unapolala hata iwe room na sitting room lazima wale wanaodharau wanaume vibarua vya ujenzi au konda au muuza kahawa wakuogope wewe tena wakikuona wanajishutukia.
Usiwe mrahisi wa kuhonga honga yaani kuhonga achana nayo mzee yaani point kubwa ni kuwa wanawake hawapendi mwanaume anayejipenda yaani ukila vizuri, ukilala pazuri, ukiwa ni mtu wakujijali mambo yako extra hasa hawa vinuka mkojo hawatakupenda watakuogopa balaa, ukiona wale wanaume washamba wachafu chafu wanawake ndio saizi yao sasa.
Wanapenda mwanaume mshamba ili wampune vizuri ukiwa na pesa afu ukawa mshamba utakuwa chaguo lao wengi. mfano ukienda hoteli lipa bili ule naye sahani moja na nunua chupa moja ya hennesy unywe nae mimina kwa glass ingine iliyobaki kwenye chupa weka kwenye gari.
Wanaume siku hizi hatujiamini ndio maana hawa viumbe wanatupanda kichwani. yaani ukishajiamini ni basi wakuu. hata kama mwanamke yeye ni malkia lazima uishi na ufanye akuogope asikuone kawaida kawaida .
Tatizo la sisi wanaume wengi tunajishusha na kujidharau wenyewe mwisho kukosa dira ya mwanamke unayemtaka. point yangu hapa ni unadhifu na umaridadi wa akili na hata mwonekano jinsi unavyo kutana na mwanamke.
Amna kitu kitakushusha kama kutongoza tongoza ovyo yaani kila mwanamke vinuka mkojo na chupi vyote unatongoza tongoza na wale wanuka matako na wavaa mawigi unatongoza yaani hii system ya kila demu unachukua namba inashusha hadhi kabisa.
Ishi ifike mahali mwanamke akuogope fake fake uwezavyo hata kama huna kitu halooo ukijaribu tu utafurahia yaani hadi wale watoto wa ma DED utakula wale wanaotafutiwa waume na shangazi zao wa TRA lazima uwale na mtaji utapewa na harusi fake ya uongo utafanyiwa.
Amna jambo zuri kama kujiupgrade kwenye maisha even uko chini sasa unavo vaa, gari unayoendesha, msosi, unapolala hata iwe room na sitting room lazima wale wanaodharau wanaume vibarua vya ujenzi au konda au muuza kahawa wakuogope wewe tena wakikuona wanajishutukia.
Usiwe mrahisi wa kuhonga honga yaani kuhonga achana nayo mzee yaani point kubwa ni kuwa wanawake hawapendi mwanaume anayejipenda yaani ukila vizuri, ukilala pazuri, ukiwa ni mtu wakujijali mambo yako extra hasa hawa vinuka mkojo hawatakupenda watakuogopa balaa, ukiona wale wanaume washamba wachafu chafu wanawake ndio saizi yao sasa.
Wanapenda mwanaume mshamba ili wampune vizuri ukiwa na pesa afu ukawa mshamba utakuwa chaguo lao wengi. mfano ukienda hoteli lipa bili ule naye sahani moja na nunua chupa moja ya hennesy unywe nae mimina kwa glass ingine iliyobaki kwenye chupa weka kwenye gari.
Wanaume siku hizi hatujiamini ndio maana hawa viumbe wanatupanda kichwani. yaani ukishajiamini ni basi wakuu. hata kama mwanamke yeye ni malkia lazima uishi na ufanye akuogope asikuone kawaida kawaida .