uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,079
Mada sio ww kutokuoa au usioe, mada ni usipooa kwenye uongozi naturally hauwezi kujilinganisha na mwanaume mwenye familia ambayo imetulia na inamuheshimu yy, huo ndo ukweli usiopingika
Sent using Jamii Forums mobile app