katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,756
- Thread starter
- #121
Tumekuuliza mwanaume rijali hajisifii ni matendo uke ndio yanamuonyesha kuwa yeye ni rijaliMimi ni mwanaume rijali.
Tumekuuliza mwanaume rijali hajisifii ni matendo uke ndio yanamuonyesha kuwa yeye ni rijaliMimi ni mwanaume rijali.
Rejea kwenye kamusi ya TUKI, tafuta maana ya rijali, hayo uliyoyaandika hayapo!!Huo sio urijali unaweka mimba nani akulelee hao wenye mimba wanaume marijali ni wale wenye kukubali hali halisi ya maisha nakupigana nayo mwanaumr rijali ni yule ambaye muda mwingi hawazi mapenzi anawaza hela atapataje watoto wasome shule nzuri nakupata maisha mazuri.
Mwanaume rijali ni yule ambaye hupenda kuwa busy akifight kimaisha sio yupo busy kuwajaza watu mimba wasio na mpangilio
Katika life huyo sio mwanaume rijali.
Mwanaume rijali humkuti anahistoria yakujaza jaza mimba watu.
Yeye yupo busy kutafuta life.
Sijakataa hivyo bali kwa maisha ya leo mwanaume rijali ni anaweza anafamilia na bado anahawara ila mzunguko wote huo anawatunza wake zake anajitambua pia.Mwanaume rijali ni yule ambaye uume wake unasimama barabara na una uwezo wa kumfikisha mwanamke kilele na kujaza mimba. Mengine ni mbwembwe tu, tusichanganye mwananaume bora na mwanaume rijali.
Hivyo basi mwanaume anaweza kuwa:
1. Rijali lakini sio bora
2. Bora lakini sio rijali
3. Sio rijali wala sio bora
4. Rijali na bora.
DUHSifa za mwanaume rijali.
1. Kuwa msafi 24 hours
2. Hupenda kutreat wanawake kimapenzi vyema.
3. Kuvaa hereni, kutoboa pua, kuvaa cheni kifuani , mguuni
4. Hanywi pombe ila anavuta cigar
5. Awe na pesa ya kutosha na utajiri halali.
6. Akiwa kwenye " social media " I'd zake huwa za kike, mfano I'd yangu hapo....
![]()
![]()
LolUrijali ni pamoja na hayo hapo mliotaja ila kama kuna mtu kasema ongeza naniliyoyasema