mie nimecheka DC sijaelewa bado Polio????
Jamani sio kwamba nawadiss wadada mnapenda PESA yaani too much, uko pub ukikenua meno umenunua vinywaji na vilaji. Baada ya hapo shida zinafunguliwa
Na nyie mnapenda nini vile??
by [B said:Fab[/B];891255]
namaanisha km wewe ni mtu wa pesa,unahangaika kuzitafuta...i presume unazinyaka kwa sana...hutotaka kuwa na mtu ambaye hana pesa...simply hamuendani!,mabuzi oyeeee!lol
i see!
interesting!!!
Very often it is found that women loves to date with financially strong men. Just as a dog gets atttracted towards bones, men gets attracted towards beautiful women similarly women are attracted to males who have the most resources and the ability to manipulate and distribute those resources.
Na nyie mnapenda nini vile??
vigelegele jamani kwa daktar wangu bingwa kwa huu mtiririko na ufafanuzi wa kitaalam!Pesa sio msingi wa maendeleo.........................(1)
Pesa sio MSINGI wa mapenzi ila ni MUHIMU katika mahusiano.......................(2)
Mwanaume mwenye MAENDELEO hayakuja kwa sababu tu ya pesa, kulikuwa na mambo mengine pia.....................(3)
Mwanamke anayempenda mwanaume mwenye PESA zake, huyo anakuwa amependa pesa na sio mtu ndio maana hatapata MAENDELEO anayodhania.......(4)
Mwisho wa siku mwanamke wa namna hiyo MPUNGA wake utaliwa lakini hatakuwa na MAENDELEO kwa vile aliweka PESA mbele!(5)
Thanks baby Cheusi fo zis uyuziful posht:hug:
other reason is wanaume wengi huwa wanakuwa intimidated ikiwa wanawake wana earn more than them... So thats a problem actually it is a big problem when a man feels unsecured or powerless mbele ya mke wake...
Another reason ni wanawake wenye ku earn more than their spouses always tends to look down at their spouses...kitu ambacho kina sababisha mahusiano yao kufail...
So the bottom line i dont think money is everything but you cant change human nature...it is difficult....
kaizerrrrrrrrrr kaizerrrrr chrispinnnnnnnnnnn hebu amkeni huko mlipolala mje mjionee!
aaaah malkia vipi tena mbona unataka kuvuruga bahati ya kijakazi wako........!kaizerrrrrrrrrr kaizerrrrr chrispinnnnnnnnnnn hebu amkeni huko mlipolala mje mjionee!
No commentsHata kama ni Bwabwa?