Mwanaume ni yule ambaye

Mwanaume ni yule ambaye

hawapo wa hivyo. wangekuwepo kusingekuwa na vilio vya wanawake juu ya mahusiano.
 
hata cjui simu anashikaga saa ngapi ila najua anashika koz kuna mda naambiwa kitu ambacho bila kushika asingejua, likewise hajui nashika simu saa ngapi ila anajua nashika
 
lakini imekuwa kama tabia kwa baadhi ya wanawake kupekua simu ya mwenzake. binafsi limeshanitokea Mara nyingi, unakuta unaoga bafuni kumbe mwenzako huku anaangalia simu yako. sijui kwanini wanakua hivi
 
Huo ni wajibu wa mapenzi ya mwanaume kwa mwanamke tu...na siyo tafsiri ya mwanamme. Mwanamme ni zaidi ya hapo
 
Aweki password kwenye simu yake, yupo huru kumwambia mke wake. Mke wangu mzuri pokea simu hiyo.

Anafurahia kuwa na muda na mke wake na kupanga maendeleo

Ampigi mke wake, anamfanyia massages na kumjali mke wake

Anajua majukumu yake

Anatambua mchango wa mke wake wa kazi

Anamwambia mke wake jinsi gani alivyo mzuri




ongezea na hii mkuu,"ni yule wallet yake iliyotuna"mmmmmanina.wallet ikiwa haijatuna mnatuonaga malofa kweli
 
Hakuna kitu kama hicho, kila jambo na wakati wake,mwanaume unatakiwa sometime yes sometime no,ukiwazoesha hawa viumbe kucheka nao all time utajuta,means mwanaume hutakiwi kutabirika,siku zingine mpe mkeo malove mpaka afurahi,Ila usimzoeshe sana coz kuna siku michongo yako haijakaa fresh,stress kibao unarudi home haujachangamka siku mbili utasikia oh siku hizi una mwingine na malalamiko kibao si ulishamzoesha;
 
Mamuu hana mpango kabisa na simu yangu, sijawahi kumkataza, lkn amejenga mazoea ya kutoni kagua - especially thru my phone. Kitu ninacho mpenda ni kwamba huwa anani-miss sana ninapokuwa mbali nae. Nina uhakika kwamba I am the best man to her...
 
Aweki password kwenye simu yake, yupo huru kumwambia mke wake. Mke wangu mzuri pokea simu hiyo.

Anafurahia kuwa na muda na mke wake na kupanga maendeleo

Ampigi mke wake, anamfanyia massages na kumjali mke wake

Anajua majukumu yake

Anatambua mchango wa mke wake wa kazi

Anamwambia mke wake jinsi gani alivyo mzuri




wa hivi simtaki ana-sound gay. mie bila kichapo naona sipendwi. bila drama za hapa na pale za kufungua simu mara kile naona siku haiendi
 
Back
Top Bottom