Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,175
- 34,410
Aweki password kwenye simu yake, yupo huru kumwambia mke wake. Mke wangu mzuri pokea simu hiyo.
Stuka! Ana handset ingine kaacha ofisini!! Either that ama keshawatonya mda gani wasipige.
Anafurahia kuwa na muda na mke wake na kupanga maendeleo............ Wa hivi ameshazaliwa kweli?
Ampigi mke wake, anamfanyia massages na kumjali mke wake Mh!! Only when she is pregnant. *****.
Anajua majukumu yake......Kujua its one thing. Kutekeleza another
Anatambua mchango wa mke wake wa kazi yeah but how does he show this
Anamwambia mke wake jinsi gani alivyo mzuri does he mean it? Ama anasema ili apewe ka mkopo keshamaliza hela kwenye kilaji
The good men are resting in peace as I write this. Six feet under.