Mwanaume ni sawa na Mwanawake.

Mwanaume ni sawa na Mwanawake.

Glisten

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
301
Reaction score
22
Wana JF..
Jana kulikuwa na kongamano la wanawake na akina dada ambalo liliongozwa na Mkurugenzi wa ITV na RADIO ONE wanasema "mwanamke ni sawa na Mwanaume tena kuna Nyanja mwanamke kamzid mwanaume" je! Kuna ukwel wowote katika hili..
 
Ni kweli wote tupo sawa just biological differences tu...mbona iko wazi hii?? Nilisoma abroad injiniaring,field ngumu kabisa top scorer wote walikuwa wadada!! Wametuzidi vingi tu, na wana IQ kubwa kuliko sie...na kuna msemo umezagaa siku ingawa siupendi lakini yabidi kuumeza tu..."Wanaume Suruali"
 
Biologicaly hapana mwanaume sio sawa na.mwanamke
 
Hapana, mwanamke si sawa na mwanaume. Tuko tofauti sana.

Kusema mwanamke na mwanaume wote wako sawa ni sawa na kulinganisha matufaha na machungwa.

Sawa, yote ni matunda lakini yako tofauti. Vivyo hivyo, mwanamke na mwanaume nao wote ni binadamu lakini wako tofauti.
 
Wana JF..
Jana kulikuwa na kongamano la wanawake na akina dada ambalo liliongozwa na Mkurugenzi wa ITV na RADIO ONE wanasema "mwanamke ni sawa na Mwanaume tena kuna Nyanja mwanamke kamzid mwanaume" je! Kuna ukwel wowote katika hili..
Mbona haya ni maradhi sawa na mengine tu si hata mtoto wako kuna kipindi anajiona yeye ni zaidi ya wewe baba yake mbona hata shetani alijiona ni sawa na mungu na wala haijakuwa kweli
 
Wana JF..
Jana kulikuwa na kongamano la wanawake na akina dada ambalo liliongozwa na Mkurugenzi wa ITV na RADIO ONE wanasema "mwanamke ni sawa na Mwanaume tena kuna Nyanja mwanamke kamzid mwanaume" je! Kuna ukwel wowote katika hili..

Uko ukweli 100%! Kama wa bisha muulize Lara1

cc Lara1
 
Ni kweli wote tupo sawa just biological differences tu...mbona iko wazi hii?? Nilisoma abroad injiniaring,field ngumu kabisa top scorer wote walikuwa wadada!! Wametuzidi vingi tu, na wana IQ kubwa kuliko sie...na kuna msemo umezagaa siku ingawa siupendi lakini yabidi kuumeza tu..."Wanaume Suruali"

Hii wanaume suruali ni insult jamani! ila ukweli hapo kwny IQ umemaliza! Wanawake tuna IQ kubwa kuliko men na ndo mana wanaume huogopa kama ukimwi wanawake wenye IQ kubwa!
Badala ya kuwachukua na kusaidizana nao wanawavunja moyo na kuwaambia eti WAJUAJI SANA!
Wanawake big up kwa kweli!
 
Mimi siko sawa na wala sintokuwa sawa na mwanamke!!!
Kuna nyanja ananizidi sawa ila pia debatable!!!!!

Yaaani wewe Kibibi Jongo uko sawa na mie kabisa!!!!!Thubutuu
 
Ni kweli wote tupo sawa just biological differences tu...mbona iko wazi hii?? Nilisoma abroad injiniaring,field ngumu kabisa top scorer wote walikuwa wadada!! Wametuzidi vingi tu, na wana IQ kubwa kuliko sie...na kuna msemo umezagaa siku ingawa siupendi lakini yabidi kuumeza tu..."Wanaume Suruali"

Suruali wote tupo sawa tofauti ni vile vilivyofunikwa na hizo suruali
 
Ni kweli NN lakini kuna hichi kipengele Nadhani kitakuwa kinahusisha mambo ya IQ na development


Mkuu kama ungetuwekea hiyo mambo ya IQ and development differences basing on sex/gender utakuwa umetuelimisha if at all facts are there
 
USA wagewahi Kuwa na rais mwanamke!
Enyi watu tofautisheni kati ya:-
(1) haki za kijinsia na (2) usawa wa kijinsia!
Hilo la pili halipo!
What I know is that we r like a PLUGS & sockets
 
Mwanaume aliumbwa kwanza! Ebo! Halafu akaumbiwa mwanamke kutoka kwa ubavu wa mwanamme
 
wanawake wakitaka kuenjoy maisha tukubali kuwa sisi si kama wananume kwenye maeneo yote, sisi ni wanawake nao ni wanaume! tuna breasts hawana. tunabeba mimba na kunyonyesha wao hapana. we are mothers and they are fathers; na mengine meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeengiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
wanawake wakitaka kuenjoy maisha tukubali kuwa sisi si kama wananume kwenye maeneo yote, sisi ni wanawake nao ni wanaume! tuna breasts hawana. tunabeba mimba na kunyonyesha wao hapana. we are mothers and they are fathers; na mengine meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeengiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!

Umekir mwenyew c* kwel ungekuw mke wangu ningijivunia..kwasab unajielew...unajitambua..
 
Inawezekana maana juzi usiku nimekutana na mwanamke anakojoa akiwa amesimama sijui naye alikuwa mwanaharakati, ...................mtoa mada please kufananisha mwanamke na mwanamme ni ushetani Mkubwa tenants ushindwe huwezi fananisha Mumbai na kitambi
 
Hiyo ni kuhifariji kwa maneno tu ila uhalisia upo palepale
 
Back
Top Bottom