Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,141
- 159,058
Kwa kaizer
Kwa kaizer
It seems to me, he speaks sarcasm fluently in real life.Huyo jamaa anayejiita Conor hapo juu, ananipaga raha sana, hakuna uzi jf asioupinga na lazma umkute pg za mwanzo, yani hata hapa ataweza apinge kama yeye hapingi.
Jamaa anastress za maisha .ameamua kuzileta jfIt seems to me, he speaks sarcasm fluently in real life.
Kwa lipi Mkuu?Dah naona leo mmetutenga wazee wa chaputa na paka za bar
Kuna Jamaa anashinda na sim ya mkewe,lakin mke bado anachepuka tu.Ndo maana nakwambia ni kumuomba Mungu,huku mtaani kuna mambo mkuu.
This is the best comment of the yearImani ni matendo Mkuu !
Unaposema kumuomba Mungu Hilo swala lipo constant lakini haina maana Kwamba usifuatilie mambo ya msingi!
Kwamba ubweteke bila kuonesha kujali Nyendo Za mwenzi wako Hata other family members!
Ndo maana tunapolala au kutoka huwa tunafunga Milango pamoja na Kwamba tunamwomba Mungu atulinde!
Kama ni hivyo basi tuwe tunalala Milango wazi usiku kucha kila Siku Hata mchana Kama Watu wote wakitoka kwenda Kwenye shughuli zao milango ya Nyumba isifungwe kwakuwa tunamwomba Mungu atulinde sisi wenye na mji mzima!
Kwahiyo ukichunguza kisha ukakuta hakuna kitu kibaya . ndo unajiaminisha kuwa mkeo nimwaminifu .acha kupoteza mda kwahao viumbe tafta hela kwaajili yabaadae .Sasa so ndo vizuri ilikusaidia kumjua mtu ulonaye
Huyu kaja kuangalia upepo huku .anampenda mkewake sasa anawasiwasi nae .kaona kuchunguza sim ndo kamaliza .anadhani sim ndo papuchi .Sasa kama hujawahi chepuka kwanini umfikirie mkeo vibaya hadi upekue simu yake..!?
Mke wamtu humwambia kabisa mchepuko usinipigie mpaka nikupigie .nahuwa hawachati watsup namba pia anaijua kwakichwa .Eti huwa nachezea simyake kwani sim inachezewa ??mm MTU anaehangaika namwanamke huwa namzarau sana .Kwanini uogope mwenzako kuchezea sim yako? Hamuogopani kuchezeana vinyoleo iweje uogope kichezea sim?. Kama presha ni matadhi kama yalivyo mengine. Mimi sim ya mke wangu nipo huru nayo sana tu password yangu ni yake, yake ni yangu kwa ufupi tunashea kila kitu. Kasoro kitu kimoja ya kwangu anaogopa kuichukua mpaka aniombe lakini sio kwamba akichukuwa ntachukia hapana. Anaheshim tu kama ana shida nayo anaichukua kama kawaida, lengo la kuchukua ni pale nimpe ruhusa ya kutumia dakika zilizobakia kama hazina kazi na zinakakaribia kuisha mda.
Nachomaanisha Mimi kumuomba Mungu upate mke anaejielewa,we unafikiri kufunga mlango hyo nyumba yako ndio hautaibiwa.Mwanamke akiamua kukusaliti ,anakusaliti tu cha msingi play part yako.Imani ni matendo Mkuu !
Unaposema kumuomba Mungu Hilo swala lipo constant lakini haina maana Kwamba usifuatilie mambo ya msingi!
Kwamba ubweteke bila kuonesha kujali Nyendo Za mwenzi wako Hata other family members!
Ndo maana tunapolala au kutoka huwa tunafunga Milango pamoja na Kwamba tunamwomba Mungu atulinde!
Kama ni hivyo basi tuwe tunalala Milango wazi usiku kucha kila Siku Hata mchana Kama Watu wote wakitoka kwenda Kwenye shughuli zao milango ya Nyumba isifungwe kwakuwa tunamwomba Mungu atulinde sisi wenye na mji mzima!
Mkuu watu kamahawa .hata malezi yawatoto ndo huwa wanawaletea ukali nakuwafungia mageti baada yakuwafundisha imani zakiroho .watoto wajue zinaa nikumkosea Mungu.mtoto bora ajue ninaa nikumkosea Mungu so ajue zinaa baba au mama atanipiga akijua kwahiyo akifanya siri anaona kafanikiwa .Nachomaanisha Mimi kumuomba Mungu upate mke anaejielewa,we unafikiri kufunga mlango hyo nyumba yako ndio hautaibiwa.Mwanamke akiamua kukusaliti ,anakusaliti tu cha msingi play part yako.
Ni kweli kabisa.Mke wamtu humwambia kabisa mchepuko usinipigie mpaka nikupigie .nahuwa hawachati watsup namba pia anaijua kwakichwa .Eti huwa nachezea simyake kwani sim inachezewa ??mm MTU anaehangaika namwanamke huwa namzarau sana .
Mkuu binadamu kwa asili yake hapendi kuambiwa ukweli, yeye hupenda nyeupe iitwe nyeusiYes ni kwel na Lait kama Wanandoa wangetambua hilo nadhan ndoa nying zingekuwa chanya