MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
Vipi ukimwona anakukabidhi funguo za Harrier na milioni mbili za matumizi yako binafsi, hutampanulia upaja umpe cha fasta??Hapana hapo alimaanisha kwamba ukimuona mume yuko bize na kazi namna hiyo,unapata moyo/morali ya kupika hata na kanga moja,ili hata akija akitaka cha fasta ni fasta kweli hahaa si et MBITIYAZA?
Wanaume tuna mbinu nyingi za kuwafanya wamama watupanulie mapaja... hiyo ya kufanya vikazi vya mahouseboys ni chaguo lako.... wengine wanapenda watuone kila mara tukiwa tunanukia harufu ya pesa...ahaha we sasa hv najua ushalipuka... mifano yako haiendan
Ugonjwa wangu hahaha naagiza high heels Jumiaagiza pair 1ya kiatu ntalipa
Mchepuko wangu namba3 naona umeanza kuishiwa!La mwisho mwanaume halisia ni yule anaejua jiografia ya mwanamke... yaan yule anaejua nn anatakiwa kufanya kwenye mwili wa mwanamke(hapa naomba nitie msisitizo kwel kweli)
- Anayejielewa kuwa ni mwanaume sio wa kuonesha misuli kujionesha yeye mwanaume
- Awe yule anayefanya kazi za kiume kwelikweli hata kama ni Boss
- Raha sana kumuona mwanaume ameinama mvunguni au anapiga jeki kutoa tyre(mfano tu )
- Raha sana kuona mwanaume anahudumia mifugo ile ameinama na kaboxer kake kanaonekana ka kiume(awwww) ...Yaan ht mzuka wa kuingia jikoni na kanga moko kumpikia unakuja automatic
- Kuna raha ya ajabu kumuona mwanaume anakata fence ya kuzunguka nyumba yake kale kajasho anakosweat huwa kichocheo ka kupewa game la kimafia kale kajasho ni BOOSTER KUBWA
............sio mwanaume hata kukata muhindi wa kuchoma unashindwa,kubeba kilo 20 za mahndi wewe liulimi lote njee,
POPOTE ULIPO MWANAUME WA AINA HII SHOUT IT OUT TO YOU
UNSPECIFIED
@akiliZaDesperado
Nachelewa kitu gani sasa hahaVipi ukimwona anakukabidhi funguo za Harrier na milioni mbili za matumizi yako binafsi, hutampanulia upaja umpe cha fasta??
Bahati mbaya mfano wako hauakisi kila mwanaum kutokana na mazingira yakehahaha ule ni mfano tu.....
hahaha ule ni mfano tu.....
Ewaaaa.... kwahiyo unakubaliana na mimi kwamba si lazima mwanaume akate michongoma ndo upate ashki ya kumpanulia upaja, si ndio?Nachelewa kitu gani sasa haha
Kushindwa kutoa ni uvivu tu dada yangu.Hahahaa. We Kakaaa.
Hata kwa kutoa tyre piamie naona gari kama ina shida nyingine hapo sawa ila hiyo ya tyre sio ya kusema eti umwite fundi atoke hukooo aliko wakati ulikuwa na uwezo wa kubadilisha tyre na safari ikaendelea pasi kupoteza muda kumsubiria fundi.
hahaaa hahaUchovu wa maisha + kuachwa hupelekea kuwaza mambo kama haya... Empty Set kabisa
ahhaha sasa nimekuelewa !si yule kijukuu cha nan akajifanya et natoa SIRI!zikiitwa siri hii nayo siri !nimeona ananiiondolea furaha yangu ya leo !leo nipo full package,full mass nondo apite kuleeMbiti mbona mwandiko wako siku hizi unafanana sana na matamshi ya baba yako magufur au nyie ni ndugu
kama hivyo ndivyo ..mbona huwa mnawadharau watunza bustani ..maana hivyo vigezo vyote ulivyovitoa hapo vinawagusa wao ...hahaa
MBITI hizi ni mbwembwe tu ..kama Pesa hakuna lazima akimbiwe mtu ...
vijana wakiume tutafute Pesa aiseee "" maana hizo ndio shortcut yakila kitu " una sura mbaya na kitambi hcho lakini watakuvumilia hvyo hvyo aiseee "" ukiwa huna Pesa papuchi utaishia kuziona Google tu
Hapa kuna nini swahiba???
Ila all in all.... you never know with women...
najua hujaongelea Pesa ..lakini mimi nimetoka nje ya mada kidogo na kuwaeleza vijana kuhusu umuhimu wakuwa nazo ''maana wanaweza kuwa na hzo sifa zote ambazo umezitaja katika huu Uzi na mwisho wa siku wakaishia kwenye dimbwi la manyanyaso kwakuwa tu hawana kitu kitakachoweza kuwafnya waonekane na kuthaminiwanimeshndwa ht kukujibu maana bado hutanielewa !endelea kusoma comments !mie sijaongelea pesa kbs hapa
najua hujaongelea Pesa ..lakini mimi nimetoka nje ya mada kidogo na kuwaeleza vijana kuhusu umuhimu wakuwa nazo ''maana wanaweza kuwa na hzo sifa zote ambazo umezitaja katika huu Uzi na mwisho wa siku wakaishia kwenye dimbwi la manyanyaso kwakuwa tu hawana kitu kitakachoweza kuwafnya waonekane na kuthaminiwa
hata mimi pia nimekuelewa ..hapo unawa kumbusha wanaume namna yakuwa wawajibikaji na wanyenye kevu na hizo ndio sifa ambazo anapaswa kuwa nazo mwanaume na sio mvulana ..mwanaume akitka mtu Fulani afanye jambo huwa anaonyesha yeye kwanza mfano ...kwa mfano akitaka watoto wake wawe wa nyenye kevu na wawajibikaji anaweza akaamka asubuhi nakufnya usafi ..kitendo chakufnya usafi kama kitapelekea watoto nao kujifnza nakuiga tabia yake ..nawao kesho hawatoona tabu kuamka nakuufnya huo usafi .....sawa sawa!ila kwa 'mwanamke'na mwanaume anayeelewa ameelewa
Nyie si ndo waanzilishi wa haki sawaHawezi kukuacha ubebe mzigo mzito