Agiza kinywaji kwa bili yanguLa mwisho mwanaume halisia ni yule anaejua jiografia ya mwanamke... yaan yule anaejua nn anatakiwa kufanya kwenye mwili wa mwanamke(hapa naomba nitie msisitizo kwel kweli)
- Anayejielewa kuwa ni mwanaume sio wa kuonesha misuli kujionesha yeye mwanaume
- Awe yule anayefanya kazi za kiume kwelikweli hata kama ni Boss
- Raha sana kumuona mwanaume ameinama mvunguni au anapiga jeki kutoa tyre(mfano tu )
- Raha sana kuona mwanaume anahudumia mifugo ile ameinama na kaboxer kake kanaonekana ka kiume(awwww) ...Yaan ht mzuka wa kuingia jikoni na kanga moko kumpikia unakuja automatic
- Kuna raha ya ajabu kumuona mwanaume anakata fence ya kuzunguka nyumba yake kale kajasho anakosweat huwa kichocheo ka kupewa game la kimafia kale kajasho ni BOOSTER KUBWA
............sio mwanaume hata kukata muhindi wa kuchoma unashindwa,kubeba kilo 20 za mahndi wewe liulimi lote njee,
POPOTE ULIPO MWANAUME WA AINA HII SHOUT IT OUT TO YOU
UNSPECIFIED
@akiliZaDesperado
Zpoo zote ushaur tu nMiss u too..VIP wewe una hizo sifa?..
Hahaha safi sanaZpoo zote ushaur tu n
Kuwa uje uhakikishe
Hv naanzaje kuandika house boy
Kwang Kwa mfano?
Me pia mkuu vzrAhsantr kaka nimefurahi kukuona ndugu yangu
Ahahahaaaaaahhaha nimezinyonya jana zimenikifu .... iweke had 26.4 lol
Haa haa na ndo uamkeHahaha safi sana
Asanteh maahahhahahah uwiiii wajina wajina !ahahaah aisee !karibu mnoo
Hee hee hee usniambieHahahaha mekua single lady![]()
![]()
![]()
Pamoja kakaMe pia mkuu vzr
Tuendelee kulisongesha hapa
Kijiwen kwetu
Alafu akiwa anafanyaa hizo kazi awe kifuaa wazi yaaaan na kajasho kwa mbaaaaali kinamtiririkaa daaaaah lazimaa umsindikize bafuni kuogaaa ukamsugue mgongo sio mwanaume kutwa nzimaa kashinda kwenye game hata nje hatoki au kutwa nzimaa anashinda jf kukosoa watu
Baby vipi hizo sifa unazo kidogo au huna kabisa?Pamoja kaka
Hahaha swali la kichochezi hiliEwaaaa.... kwahiyo unakubaliana na mimi kwamba si lazima mwanaume akate michongoma ndo upate ashki ya kumpanulia upaja, si ndio?
Hahaha swali la kichochezi hiliEwaaaa.... kwahiyo unakubaliana na mimi kwamba si lazima mwanaume akate michongoma ndo upate ashki ya kumpanulia upaja, si ndio?