mwanaume na G-string

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,974
Reaction score
13,430
wakuu habari za jumapili,leo baada ya kupigwa na joto nikaamua ngoja niende beach nikapunge upepo,huwezi amini nafika beach nikayaona madume mawili yamevaa G-string,hivi hawa wanaovaa hii kitu ni ndugu wa Cameron au hakuna ubaya wowote kwa dume kuvaa G-string? Nalog off
 
weka picha zao tuone km kweli G-String au chupi za VIP

simu yangu ni Nokia 3110 haina twanga pepeta camera,nina short ya Tsh 9990 ili ninunue simu ya kichina yenye camera,halafu nitakwenda tena beach kuwatafuta hawa jamaa ili niwapige picha.Nalog off
 
mmh, yaani kuna picha naipiga kichwani afu inaungua. Naungana na mdau aliyeomba picha.
 
Kwani G-string ina tofauti gani na chupi ya kawaida?
Au mnaangalia makalio na kuyatamani?.... ukiona mwanaume mwenzio anakubother na mavazi yake, ujue wewe ni njugu.
 
mmh, yaani kuna picha naipiga kichwani afu inaungua. Naungana na mdau aliyeomba picha.
Tatizo lako unaipiga hiyo picha huku umefumba macho,fungua macho halafu ipige tena. Nalog off
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…