Mwanaume mzima unashika shika........!


Hizi ni siri zenu. Si jambo jema kuziweka hadharani. Fikiria kama mkeo ni mwana JF, atajisikia vipi akisoma hapa?
 
samahani kuna mtu ametumia id yako na kuchakachua maoni na ushauri akijidai ni wewe ninaekufahamu...ni hayo tu mpendwa
hahahaahhah unanifahamuje mkuu huo ndio uhalisia jamani kha
 
Ulichokifanya umekosea na alichokifanya mkeo amekosea pia, wote mmekosea.
Kivipi?

*Japokuwa ni mke wako na una uhuru nae na vitu vyake, lakini inategemea desturi na utamaduni wa kuishi mliojijengea nyinyi wenyewe. Kumbuka mikoba ya kina mama inabeba vitu vingi tena vingine ni siri(Urembo, Pedi, Nguo, Dawa nk) kwa mwanamke mwenyewe tu, hivyo sio busara sana kuifungua pasipo ridhaa ya mwanamke mwenyewe unless mmeshajenga utamaduni huo!!

*Mkeo pia amefanya makosa sana kwa kuonyesha ukali na hasira kwa jambo ambalo hajaridhia kwanza kufanywa na mume wake, hivyo imepelekea wewe kuhisi vibaya.
 
inabidi uchukue maamuzi magumu,just act like a man.....au amezowea kukufokea mkuu?
 
wanawake wa kibongo hawaendi bila kichapo,mambo ya kizungu waachieni wazungu wenyewe,hapo ningekuwa mimi ni kichapo mpaka angesema ni kwa nn ananambia hivo,kuwa mwanamme huyo ni mali yako.wewe ni kichwa cha familia na wewe ni baba,huyo mkeo ni moja ya mali zako.kwa hiyo hata vitu anavomiliki ni mali yako pia,kwa hiyo kukwambia unashika shika mikoba ya wanawake ni kukutusi,MPE KICHAPO ILI SIKU NYINGINE AWE NA ADABU..
 
Pole mkuu. Kifupi mkeo hakupaswa kukujibu hivyo coz ulimwomba au niseme ulimtaarifu.

Pili.. Kusema kwamba unaruhusiwa au huruhusiwi kufungua laptop yake au mkoba hiyo inategemea na makubaliano yenu nyie au utaratibu ambao huwa mnatumia kwenye ishu za namna hiyo.

To me hilo karipio lingenifungua akili kabisaaaa .. Ndo ningeanza safari ya kumchunguza what's happening

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
if this what u have said comes from ua heart,if u mean it,then your husband/boyfriend is lucky


 
Duh naoa mwaka huu jamani mbona mnanitia presha..

Kusema kweli mimi hiyo laptop ningeivunja kuonesha nimekasirika, na ambacho ningekifanya asingesahau maishani mwote...
 
Be careful kuna mwenzio alikuta Ky jelly kwenye mkoba wakati hawajawahi tumia sasa jiulize inatumika wapi na kwa nani ?
 
sijakufahamu vizuri wewe ni she au he?
 
ulikuwa unahesabu nini chupi au chenji alizo nazo kwenye mkoba?
 
Hizi ni siri zenu. Si jambo jema kuziweka hadharani. Fikiria kama mkeo ni mwana JF, atajisikia vipi akisoma hapa?
kuna siri mbele ya kudhalilishwa viumbe hawa ni hatari sana anaweza kukua kwa pressure ukiangalia hivi hivi,

 
Huyo anatunza siri nzito za bosi wake kazini. Angalia sana.
 
Mkuu chukua hatua mapema zungumza nae kuhusu alivyokutibua, halafu mpate suluhisho. Kama mke na mume mnaaminiana ya nini kujidai eti simu & co ni vitu private? otherwise there is something behind not good. Mkuu pamoja na mazungumzo lakini inabidi upige mkwara wa maana lazima kidume ajulikane in the house.
 
Usijekuta kuna hirizi kwenye pochi yake....si unajua hawa viumbe tuliambiwa tuishi nao kwa akili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…