financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,190
- 43,525
[emoji3] [emoji3] [emoji3] , si asilimia kubwa bana Extro, yaani hadi kusuka nywele za 30k tushindwe? Aarh mnatuoneaaHahahah asilimia kubwa ya wanawake kutumia hela zao hawapendagi hata kama wana kazi. So lazma wawe na mtu wa kuwapa hela ya kufanya matumizi yao.