MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 9,314
- 25,454
Nafurahi sasa ,nishike mkono wa kati tutembee taratibu sana kuzifuata maana ziko mbali kidogoSawa Niko mbele Yako Sasa twende tukazitafute
Nafurahi sasa ,nishike mkono wa kati tutembee taratibu sana kuzifuata maana ziko mbali kidogoSawa Niko mbele Yako Sasa twende tukazitafute
Tutakula nini njianiNafurahi sasa ,nishike mkono wa kati tutembee taratibu sana kuzifuata maana ziko mbali kidogo
Ndimi zetuTutakula nini njiani
Ndiyo maana nikasema hiyo ndiyo sababu moja wapo ya kupata matatizo ya afya ya akili.Mpo wacha
Sio kila Jambo la kuongea
Kalama hiyo kapewa mwanamke tu
Amina!Tuko nyuma yenu.
Mkikosa tutaelewa.
Mungu awaongoze.
Mkuu hilo haliwezekani na ndiyo maana tunapaswa kuangalia namna ya kudeal na hilo suala ili kuepukana na matatizo ya afya ya akili.Wewe kama mwanaume unaweza kuweka hadharani kila linalokusumbua?
Unajua nini kaka Kuna mambo ambayo Sisi wanaume tunapaswa kuyaongea na mengine tunabaki nayo moyoni Tu.Mkuu hilo haliwezekani na ndiyo maana tunapaswa kuangalia namna ya kudeal na hilo suala ili kuepukana na matatizo ya afya ya akili.
Hazishibishi 😅Ndimi zetu
Tutabadilishana mate yetu ili kila mmoja ashibeHazishibishi 😅
Mkuu haya yalikuwa maneno ya Yesu akiamuru pepo. Hii ni kusema yaliyosemwa hayana ukweli wowote?Nakuamuru toka nyuma yangu haraka ,njoo mbele
Nimetumia mamlaka hayo hayo kumtoa nyuma yangu aje mbeleMkuu haya yalikuwa maneno ya Yesu akiamuru pepo. Hii ni kusema yaliyosemwa hayana ukweli wowote?
Sheria namba 1 kwenye utafutaji hakuna kukata tamaaHakika haya Maisha Hayana Huruma Kwa Sisi wanaume ndio mana tunatakiwa tuyatafute popote pale pale sababu bila huu mchezo wa Hela ya Dunia ya leo tunakuwa sio lolote Kwa jamii.
Tunaonekana tumechanganyikiwa tukiwa tunatafuta haya Maisha.
Tunaonekana tunaviburi tukiwa busy na kutafuta haya Maisha
Tunaoneoana hatuna akili tukiwa hatuna Hela katika haya Maisha.
Wanawake wanatukimbia tukiwa hatuna Hela katika haya Maisha ya Leo.
Na bado tukipata hizi hela tunaonekana wachawi na hatupendi ndugu zetu.YAANI BALAA TUPU.
Tupambane wanangu na wewe mwenetu uliyetoboa angalau endelea kupambana hadi siku ya mwisho WA mchanga wako.
Usikate Tamaa ya haya Maisha ya Sasa mana Dunia hii haina huruma Kwasisi wanaume hata kidogo Ila Ulimwengu upo na Sisi sababu tunaficha mambo mengi moyoni.
Wacha niendelee Kula nyagi.