Mwanamke.
Member
- Aug 3, 2012
- 16
- 10
- Thread starter
- #21
Mimi ni mwanasiasa, kipato changu sehemu kubwa kinaenda kwenye matatizo ya wananchi, wapiga debe na michango ya ujenzi wa chama. Nyumbani kwangu ni kama kambi ya wakimbizi, wagonjwa wa jimbo zima wanaokuja muhimbili wanafikia kwangu, wanafunzi wa chuo wanaotokea jimboni kwangu wanafikia kwangu kabla hawajaripoti chuo, walimu wakija kufuatilia malimbikizo ya mishahara yao wanafikia kwangu, gari yangu imekuwa ndio gari ya kusafirisha watu wote wa jimboni wanaofariki wakiwa Dar,. Vipi bado utanipenda?
Kazi IPo!