kweli wewe uko seroius umeingia2 jf nakuanza kutafuta mchumba mbona umri wako hujataja
Wanakimbia 'Facebook' kule wanaume wote wakopaji tu....wanaambiana ukitaka 'mabuzi' yapo JF! maGreat Thinker kaeni mkao wa kuchunwa...
Udaktari bongo? Ww chokest tuMmmh unaonekana mkali. Nilitaka nijitokeze maana sifa zote hapo juu ninazo, na miaka miwili baadaye nakuwa daktari.
Wakuu mimi nimeshinda, ameniPM tayari. Baadaye naonana naye. Nitawapa ripoti kama ni mkali.
Kijana!Sio kila kikombe cha Kunywea chai, vingine ni vya kupigia mswaki! Kama umezoea kuchunwa Usiambukize wengine ngozi ya Ng'ombe!!!
Mimi Ni Mdada, Mtanashati, Makini, Mwenye Tabia Njema, Mwenye Msimamo na Mtazamo Chanya wa Maisha! Ukiwa na Sifa Hizi zifuatazo ni PM. Seriously Candidates Only!
1; Single
2; Rangi- Maji ya Kunde au Mweupe
3; Normal size asiwe mrefu Sana wala Mfupi Sana
4; umbo la kiume sio bonge wala kitambi
5; umri kuanzia 25 - 35
6; awe na Msimamo
7; awe Anajua kujali
8; awe na kazi.
Karibuni! NB Staki Sharobaro!!!
Mimi Ni Mdada, Mtanashati, Makini, Mwenye Tabia Njema, Mwenye Msimamo na Mtazamo Chanya wa Maisha! Ukiwa na Sifa Hizi zifuatazo ni PM. Seriously Candidates Only!
1; Single
2; Rangi- Maji ya Kunde au Mweupe
3; Normal size asiwe mrefu Sana wala Mfupi Sana
4; umbo la kiume sio bonge wala kitambi
5; umri kuanzia 25 - 35
6; awe na Msimamo
7; awe Anajua kujali
8; awe na kazi.
Karibuni! NB Staki Sharobaro!!!
Tafathali kaka! Masihara weka pembeni! Don't make me report you spam!
Mimi Ni Mkristo!
mi nna vigezo lakin nna wajukuu inakuaje?Kingereza cha "Seriously" nahisi kinaeleweka!
Kweli wewe uko Sawa? Kuna vigezo na masharti ya Kuwa ukijiunga jf inakupasa ukae mda Fulani ili utafute mchumba? Kama huna vigezo hapo juu tulia.! Kuna wenye bahati zao!