STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,264
Mwanaume mlevi ni ngumu sana kumfikisha mwanamke kileleni this is a fact. Wanaume wengi mnagongewa wasichana zenu na wake zenu kwa kuendekeza pombe especially bia, vikao vya bia haviishi, muda wa kukaa na msichana wako au mkeo huna, unarudi umelewa unazima, hiyo moja, 2 unapiga masanga unalewa, unakuja unaomba mechi, ukipewa vitu dakika 5 nyingi unamwaga povu halafu unazima kama trekta la Massey Ferguson.
Kweli huyu mwanamke atavumilia aone minute again? Siku ampe mzee wa kazi STUNTER anayejua kokoto ni kokoto na jiwe ni kaka yake kokoto, unakuta kalima lami muda si muda, wanawake feelings zao kuibiwa rahisi, atakusahau na hata ukiendelea kuwa wake hisa asilimia 80 kashapewa msela wewe upige usipige ye kashapata wa kumshushia vitu mupe muruke mupe, wewe unabakia na boyfriend jina
Si ajabu hata wewe ni boyfriend jina tu, ila kuna mtu anaipiga hiyo kitu mpaka inabakia na rangi ya royco wewe lewa wee, yumba wee, mwenzio katulizwa tayari nimemaliza, mwanaume hasifiwi chupa ngapi za bia, anasifiwa 'kazi'
Thread hii imejipost yenyewe kutoka Dubai shambani kwahisani ya wahaya wenye asili ya kichaga.
Kweli huyu mwanamke atavumilia aone minute again? Siku ampe mzee wa kazi STUNTER anayejua kokoto ni kokoto na jiwe ni kaka yake kokoto, unakuta kalima lami muda si muda, wanawake feelings zao kuibiwa rahisi, atakusahau na hata ukiendelea kuwa wake hisa asilimia 80 kashapewa msela wewe upige usipige ye kashapata wa kumshushia vitu mupe muruke mupe, wewe unabakia na boyfriend jina
Si ajabu hata wewe ni boyfriend jina tu, ila kuna mtu anaipiga hiyo kitu mpaka inabakia na rangi ya royco wewe lewa wee, yumba wee, mwenzio katulizwa tayari nimemaliza, mwanaume hasifiwi chupa ngapi za bia, anasifiwa 'kazi'
Thread hii imejipost yenyewe kutoka Dubai shambani kwahisani ya wahaya wenye asili ya kichaga.